itara
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 2,238
- 1,564
MachapararaView attachment 949589
hawa ndio waliitia kimavi fiesta
MachapararaView attachment 949589
Ha ha ha ha ha ha ha
NImecheka hadi Mwanangu Kaamka Hapa Loooh Hatari sana
daah kweli huyu ni mwamba wa kaskazinHa ha ha ha
We Tazama Video Yao Hapa Chini Kisha Toa Maoni Yako
yechu yechu dingii,lichuga tunabofonga maslang yetu,hao mashori wa dar wakituletea lomoni ,tunawapa mabam bam, majabal na mabeto alaf tunawadownload mamanegram .haina noma arif mim nakula fasi ya coment g g ya. Limoro
Ha ha ha ha haHaya mnyonyeshe
Yaaani Kumsema mwanaume mwenzako kula ninakuwa na wasiwasi naweweHuu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
MachapararaView attachment 949589
Unaweza ukala asubuhi mchana na jioni pia aiseeHizi chapati ukikita moja ni hadi keshokutwa tena ndio utakula
Kama kwako ni ushamba wengine ni ujanjaHuu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
Hilo chapalala ni kwikwi chalii yakeeMachapararaView attachment 949589
chalii unaleta usolo mbona, wasafi imetokea piwa sasa, acha hizo njaroHuu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
Mkuu ndo nin sasa ulichokiandika..jaribuni kuwa wastarabu basichalii unaleta usolo mbona, wasafi imetokea piwa sasa, acha hizo njaro
Hapa wapo kwenye graduation ya msela wao .MachapararaView attachment 949589
Hiyo makitu yenu ya Dar hainaga vibe Chuga arifu kama umedere ni mara ngapi Fiesta ishatimba larusa usingeleta hii mboyoyohawa ndio waliitia kimavi fiesta
Hawa wa Daslam temana nao arifu, wana pigo za kiniajeHiyo makitu yenu ya Dar hainaga vibe Chuga arifu kama umedere ni mara ngapi Fiesta ishatimba larusa usingesema hivyo
Usiwaze sana bablai hiyo haikatoksi kwa wakuu afu yanini kubonga wakati chufuga inabonga yenyewe...Huu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
Wanaume wa dar,chips kwa cokaYaaani Kumsema mwanaume mwenzako kula ninakuwa na wasiwasi nawewe