G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Tushafukia mkuuIddy Mkulu amefariki leo
Tushafukia mkuuIddy Mkulu amefariki leo
ndio huyu ambaye inasemekana katafunwa na Corona lakini taarifa zake zimefichwa ?Iddy Mkulu amefariki leo
ndio huyu ambaye inasemekana katafunwa na Corona lakini taarifa zake zimefichwa ?
Tushafukia mkuu
kumbe wauaji nao wanakufa !Yap, ndiye.
Corona imepiga jamaa akasepa bila kelelekumbe wauaji nao wanakufa !
Tena wanakufa kwa mateso makali sanakumbe wauaji nao wanakufa !
Aiseeee ! ina maana Mrisho Gambo ameshindwa kutumia polisi kumlinda na Corona ?Tena wanakufa kwa mateso makali sana
Ohoooooo !!!Nimefurahi sana kifo cha huyo kenge wa kijani, mpaka nakunywa bia zangu nyumbani.
Mungu fundi sana. Asante Mungu.
Tushafukia na tingatinga usiku huu hapa Kaloleni. Mwili tumeuvisha PPE kama mkemia alivyoshauri.
Huyu mbwa kafa ee, SafiArusha: Mgombea wa Chadema Kata ya Kaloleni pamoja na msaidizi wake wamepigwa vibaya na green guard.Diwani ana hali mbaya amezirai na msaidizi wake amepigwa visu hali yake ni mbaya sana Polisi wamedhibitisha
N:B Majina ya Green Guard walifanya kitendo hichi ni Iddy Mkulu/Moja/Ringooo wa Daraja Mbili na Jumanne Mjusi
Taarifa zinazidi kusema kuwa Mpaka sasa hivi wanatembea na Gari aina ya Noah
View attachment 833572
View attachment 833547View attachment 833608View attachment 833609
Amezikwa leo saa 7 mchana maeneo ya ngaramtoni nje kidogo ya jiji la Arusha kama unaelekea Nairobi. Ametumika sana na ccm kufanya siasa chafu na za kikatili, nashukuru amezikwa kama mbwa.