Haiingii akilini mfanyabiashara potential kuwa investor toka Marekani aje kuhangaika na misokoto Arumeru!!!MFANYABIASHARA mtanzania na Mkazi wa Marekani na Arumeru Mkoani hapa,Ombeni Palangyo(36)amedai kutendewa unyama na askari polisi jiji la Arusha,kupigwa na kubambikiwa misokoto ya bangi wakitishia kumpa kesi ya uhujumu uchumi iwapo hata wapatia pesa .