Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hongera Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji Arusha linaloongozwa na Madiwani wa CHADEMA.
Hongera Meya Bora Tanzania Mh Kalisti Lazaro
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha - Meya Bora Tanzania akitia saini Mkataba wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya itakayojengwa Kata ya Engutoto - Njiro eneo la Container.
Kukamilika kwa mradi huu kutapunguza msongamano wa wagonjwa katika vituo vya Afya vya Levolosi & Kaloleni, Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru na kusogeza huduma za Afya kwa Jamii.
Mstahiki Meya ninaomba wakati mnaweka jiwe la Msingi mumualike Mkuu wa Mkoa Bwana Mrisho kama Mgeni Rasmi maana anapendaga "show" kweli.
------------------------
CCM WAKIJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE WAKIAMASISHANA UJINGA WAKUFANYA JUMAMOSI MESSAGE YAO IMESHIKWA UPUMBAVU NA UTOTO WA CCM ARUSHA HUU HAPA
CCM muhimu sana pia tuwe na sare zetu jamani, naomba tuwambie wana kikundi wako kuwa siku ya juma mosi 23.12.17 kutakuwa na uzindizi wa hospitali ya wilaya inayojengwa eneo la kontena njiro ufike na watu kamili asubuhi kumsikiliza mkuu wa mkoa tafadhali mfike bila kukosa na kwa wakati Karibu sana. Afisa maendeleo kata ya Lemara