Mkuu acha kutazama sana sinema za CSI zitakuzingua akili...Mpaka muda huu watu wanajiuliza maana hawapati picha, ni jinsi gani hawa watu waliuawa, tena kwa kunyongwa kwa kamba shingoni.
Ninachoamini ni kwamba kama vifo hivi havitokani na usalama wa taifa, wauaji watapatikana kutokana na kwamba marehemu wote wana macho. Macho yao yanaweza kutumika kugundua wauaji kama hawajavaa masks.
Lakini kama yametokana na kitengo cha usalama itakuwa ngumu kujua wauaji.
Lens ya macho zitatumika kuwajua wauaji, kwani sura zao huhifadhiwa na lens za macho