Tunawasubiri kuona mkiandamana barabaraniTunasubiri tamko toka kwa viongozi wetu
Lema bye byeee...sasa tutaiona Arusha tulivu na yenye MAENDELEO
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Sawa basi tusubirianeTunawasubiri kuona mkiandamana barabarani
Aiseee thread ya akwilina hii? Au tuanzishe ya George Floyd piaPray for akwilina hachen umama axee
Elimu Bora sahau,sahau ,sahau ,sahau kabisaWananchi tunataka barabara, vituo vya afya, elimu bure na bora sio blah blah
Hali yake ikoje kwasasa?Nasikia Kaka Lema anapumulia mashine
Mkuu mbona umeweka majimbo sita tu?Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Arusha. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka..
Vituo vingi Gambo 100 Lema 50Nasikia Kaka Lema anapumulia mashine
Lissu amekuja kuua chama. Na ndio mgombea pekee CHADEMA alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombea udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
ZAmu yetu ya kupiga spanaJamani mbona hamuingii barabarani?
Unauliza makofi polisi??Lema vipi?
Tuliwakilisha vema baba LA babaArusha mmefanya jambo la maana sana.