radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,189
Rais ni Mungu wa Duniani anatambulika mpaka mbinguni......Mungu wa mbinguni anajua huku Tanzania kuna muwakilishi wake ambae ni JOHN POMBE MAGUFULI
Museven na mugabe + kagame?
Rais ni Mungu wa Duniani anatambulika mpaka mbinguni......Mungu wa mbinguni anajua huku Tanzania kuna muwakilishi wake ambae ni JOHN POMBE MAGUFULI
haki haiombwi ina daiwa,JK mbona aliruhusu polisi kunyanyasa raia akiwemo Dr.ulimboka,mauaji ya bomu kwenye mkutano wa chadema n.kukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Simple
Mwambieni Lema atoe tusi moja tu ajihakikishie miezi sita mingine ya rumande!
Piiipoz!!
Naombea kwa Mungu aliye hai,uchungu wrote anaoupata kamanda Lema ukurudie wewe na familia yako kutokana na roho yako mbayaukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Hivi wewe unajua thamani ya jina la Yesu? Au unalitaja taja tu kijinga?Baba katika jina la yesu lema asitoke Mungu wa yakobo na Ibrahim unay3jibu maombi yetu naomba lema asitoke kwa mamlaka uliyonipa ya kuuamuru mlima na kuuhamisha nasema lema ataishi lumande mpaka mbingu utakaposikia toba juu kweli juu ya Ardhi
What the hell did you just write? Yani Magufuli ni sawa na Mungu? Mwenyezi Mungu akusamehe, kama kweli una dini nenda katubu. Mungu hamuoenei mtu, na kwa rehma zake hata wanaomkataa na kumkashifu huwa anawaacha waendelee kupumua. Mungu hadhihakiwiLema akitoka awe na heshima na adabu kwa Rais wa nchi hii Rais anamuwakilisha Mungu kwenye kutawala Dunia .
Kajifunze lugha kwanza Mkuu.Nabado atasota ndani mpaka awe na adabu na awache kutukana
sasa watakuelezaje kama wewe utakuwa hauko hai?Kesi yenye dhamana imemuweka mbunge mbunge ndani for three months!!Uzuri ni kuw ainaingia katika vitabu vya sheria na miaka ijayo itatumika kama rejea katika kumtia adabu mwingine.Suala ni kuwa je wakati huo atakuwa Lema tena?Mtakaokua hai mtatueleza!!
hao Mungu amewaacha waendelee kuongoza maana wakiondoka nchi zao zitaingia kwenye machafuko hao ni walinzi wa nchi zaoMuseven na mugabe + kagame?
KUTOKA KWA WAKILI MSOMI KIBATALA
Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya Lema. Serikali ilikubali yenyewe kwamba Rufaa zote mbili hazina mashiko kisheria; kama tulivyokuwa tunasema siku zote tangu wakate Rufaa hizo.
Files sasa zitapelekwa Mahakama Kuu ili kuendelea na mambo yanayohusiana na dhamana.
Mahakama pia imezungumzia kwa masikitiko makubwa namna ambavyo Serikali imekuwa ikitumia case hii kama mbinu ya kutesa na kusumbua watu na imeshangazwa namna ofisi ya DPP ilivyoji-conduct. Imeshangazwa namna wanasheria wanavyoweza tia najisi fani kwa mbinu za ajabu ajabu mahakamani.
Imemkaripia sana DPP; in open court, too.
Kwetu sisi ni vindication kwamba we were always right. Always.
Soon safari hii itaisha.
Motto; if U know U are right, persevere and let all temporary things pass. U will eventually be vindicated.
Kama Mungu anazihakiwa vile na mtu wa zimbabwe kwamba hakuna mtu wa kuliongoza taifa lile ni yy peke yake kapewa huo utash hata akifa watu wapigie kura kabuli lake bas anaupendeleohao Mungu amewaacha waendelee kuongoza maana wakiondoka nchi zao zitaingia kwenye machafuko hao ni walinzi wa nchi zao
Mna kufuru, mwambieni awe wa kwanza kuwaheshimu raiaLema akitoka awe na heshima na adabu kwa Rais wa nchi hii Rais anamuwakilisha Mungu kwenye kutawala Dunia .
Chuo Kikuu cha Dar es salaam ...UDSMHivi shahada ya kwanza alisomea wapi vilee, hebu nikumbushe tafadhali
Akitoka mpeni ushauri nasaha ! Akirudia ropoka ropoka atajikuta ansrudi lupango !Majaji watatu kesho 8:00 Asubuhi (27/2/2017) watasikiliza rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
Let us see what will happen!
=======
Lema akiingia Mahakamani leo
View attachment 474935
Update kuhusu kesi ya Mhe Lema.
Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya Lema. Serikali ilikubali yenyewe kwamba Rufaa zote mbili hazina mashiko kisheria; kama tulivyokuwa tunasema siku zote tangu wakate Rufaa hizo.
Files sasa zitapelekwa Mahakama Kuu ili kuendelea na mambo yanayohusiana na dhamana.
Mahakama pia imezungumzia kwa masikitiko makubwa namna ambavyo Serikali imekuwa ikitumia case hii kama mbinu ya kutesa na kusumbua watu na imeshangazwa namna ofisi ya DPP ilivyoji-conduct. Imeshangazwa namna wanasheria wanavyoweza tia najisi fani kwa mbinu za ajabu ajabu mahakamani.
Imemkaripia sana DPP; in open court, too.
Kwetu sisi ni vindication kwamba we were always right. Always.
Soon safari hii itaisha.
Motto; if U know U are right, persevere and let all temporary things pass. U will eventually be vindicated.
Na Peter Kibatala (Wakili)
ni kama Tanzania Magufuli ndio rais wa maisha maana hakuna mbadala wakeKama Mungu anazihakiwa vile na mtu wa zimbabwe kwamba hakuna mtu wa kuliongoza taifa lile ni yy peke yake kapewa huo utash hata akifa watu wapigie kura kabuli lake bas anaupendeleo
ni kama Tanzania Magufuli ndio rais wa maisha maana hakuna mbadala wakeKama Mungu anazihakiwa vile na mtu wa zimbabwe kwamba hakuna mtu wa kuliongoza taifa lile ni yy peke yake kapewa huo utash hata akifa watu wapigie kura kabuli lake bas anaupendeleo