Mmh....!!Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Sio kweli mkuu, alichokisema alikithibitisha kwa kuwataja waliofaham inshu hyo na wako hai ikiweno makam wa rais wakoMabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Umeeandika mambo mengi lakini ni upupu mtupu! Hakuna Mahali Sabaya kawahusisha hao watu na maovu yake!! Rudia kuusoma utetezi wake vizuriMtazamo wangu binafsi, Kesi ya Lengai Ole Sabaaya imechukua U-Turn kumchafua Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwageuka wafuasi wa Hayati Magufuli katika Serikali yake.
Kwanini nasema hivo?
Kwa Lengai Ole Sabaaya kuwataja mahakamani;
1) Hayati Magufuli (Huyu ana Kinga kikatiba kwasababu alikua Rais).
2) Dk Mpango (Hana kinga Kisheria kwasababu alikua Waziri Wa Fedha Wakati Jinai Inatendwa).
3) Prof Luoga (Hana Kinga Kisheria - Gavana BOT)
Amewataja kama waambatanaji katika makosa ya jinai alioyafanya (Accomplice & Accessory To The Crime - Kisheria wana hatia na adhabu ni sawa na mtendaji wa jinai).
Hayati Magufuli alikua Rais na anakinga ya Kikatiba kushtakiwa, hao wawili hawana kinga kikatiba katika hayo makosa ya jinai jijini Arusha (Dk Mpango na Prof Luoga) na kisheria ni Accomplice & Accessory to the Crime.
Hoja za kumchafua na kumpima uadilifu Rais Samia Suluhu;
● Je, Wata wajibishwa kisheria na katiba ili Mahakama iachwe ifanye kazi yake ya kutoa hukumu dhidi yao kama wana hatia au hawana, au watawekwa juu ya sheria na katiba???
● Je, Ole Sabaaya ametumika na wanaompinga Rais SSH ndani ya CCM kumtikisa Rais kwa kuwatia kwenye Jinai watu muhimu katika Serikali yake???
● Je, ndio miongoni mwa njia wanayotumia wana CCM waliokua wafuasi wa Hayati Magufuli aliowaacha kwenye Serikali yake, na wakaamua kumpinga Rais SSH kwenye Chanjo za Covid wazi wazi kama njia ya kuonesha dunia yeye ni muumini wa "Double Standard kwenye kuwajibisha watu kisheria".
Rais Samia Suluhu alipo hojiwa na BBC, alisema - Freeman Mbowe aachwe awajibishwe kisheria na mahakama ndio itakayoamua juu ya hatia yake dhidi ya jinai anayo tuhumiwa nayo.
JE, kwa Prof Luoga na Dk Mpango nao watawajibishwa kisheria kama waambatanaji wa hayo makosa ya Ole Sabaaya na mahakama itaachwa kuamua juu ya hatia zao, au watawekwa juu ya katiba ya nchi kwasababu ni watu muhimu katika serikali yake!
SHERIA: Kuambatana na Mhalifu ni sawa na kutenda Uhalifu. Je, aliowataja Ole Sabaya watawajibishwa kisheria?
Habari Wana JF, Mnamo tarehe 13 Agosti 2021, Mtuhumiwa Ole Sabaaya katika kesi ya jinai ya kupora fedha kwa kutumia silaha mkoani Arusha inayomkabili, yeye na wenzake, milango ya utetezi iliwekwa wazi kwa watuhumiwa ili kuanza kutoa ushahidi wa kujitetea. Hii ilikua mara baada ya Mahakama kutoa...www.jamiiforums.com
nga kuharisha huku kwetu, karibu upate. Naona umeachia uharo hapo juu, dhulumati mkubwa wewe!Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Wewe ndo wale ilikuwa mtu akizungumzia haki tu anaitwa sio mzalendo, ni mhujumu uchumi, anatumika na mabeberu!Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Shujaa wenu alisoma but alibakia kuwa mbumbumbu hadi anaingia kaburini!Kampeni za kuhamalisha chanjo tu hizo Kama alikufa kwa Corona mbona Hata mama Samia Wala Raisi wa Zanzibar Wala Baraza Zima la mawaziri Wala vyombo vyote vya ulinzi na usalama Wala viongozi wa afya mbona hawakuvaa barakoa ,Wala social distance Wala hawakuchanjwa?
Mungu anawaona uongo wenu wa kutumia marehemu .Corona na iwapate kwa jina Yesu hata kama mumechanjwa Ni iwaue kwa kusingizia marehemu
Eee Mungu saidia Corona isiwe mbali na wadharau maombi tuliyokuomba tukiongozwa na mtumishi wako Magufuli Raisi wetu uliyemwita kwako.ukawape Corona wanayoiamini kuliko Maombi tuliyokuomba na iwaue.
Tunaomba hayo kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu .Amina.
na ili iweje? Mleta mada sijamuelewaKumchafua marehemu inasaidia nini?
Magufuli hawezi kipendwa na upinzani hasa Chadema, huyu ndio kiongozi ambae hakutaka kujali kama Chadema wapo na wana ishi. alimpa heshima Mkuu wa Wilaya na sio Mbowe, uongozi na Chadema yake.Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Dada tafuta bwana mwingine ,Sabaya anafia jela , dikteta ndio alikuwa anampa kiburi SabayaMabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Dikteta alishajichafua mwenyewe, kwa kubariki utekaji na uuaji,Wakitaka kumchafua Magufuli wafanye kazi ya maana sio kwà Maneno tu.
Utakuwa huna hela wewe. Wanao jua kutafuta pesa wanaendelea Maisha.Dikteta alishajichafua mwenyewe, kwa kubariki utekaji na uuaji,
Samia amekuta hazina ya Nchi empty, Tumuache akuze uchumi
Asahaulike afu aendelee kuandikwa?Wanaoweza kumchafua ni wafu wenzake huko jehanam,huku alishasahaulika
huenda kweli usemacho dada!!Utakuwa huna hela wewe. Wanao jua kutafuta pesa wanaendelea Maisha.
Pumba tu hizi,Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya watanzania.
Ss unasubiri si uende huko chato ili mkampigabie vizurHawataweza, wananchi tutampigania Magufuli mpaka mwisho kama alivyotupigania.
You have said it all. Ila wajue Hawatamchafua. Sasa yeye hayupo si waendelee tu na yao waone cha mtema kuni. Nadhani mwezi wa kwanza waliipata. Nakufanya U-Turn. Na tuko macho wazalendo wa Rohoni tumsikie anaemchafua Magufuli tutapambana nanyi mafisadi wakubwa.Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri.
Katika kipindi chake cha urais muda huo kuanzia 'go' taa kuwaka kijani kupitia vibaraka wao wakiongozwa na lissu walianza kumpiga vita kwa pupa uongo na lugha za kishenzi kabisa. Yote ilikua mshtuko na hamaki kwa kujua magufuli ni kiongozi imara na mtetezi mkubwa wa maslahi ya umma. Ni mtu muadilifu hahongeki hivyo kua mtu hatari kwa ubwanyenye na unyonyaji wa nguvu kazi ya wavuja jasho.
Wapinga maendeleo wakiongozwa na chadema wamekua wanamuombea kila janga magufuli hadi wamekua wanamwombea kifo. Tuliona kina lema wakimtabiria kifo kama hataacha kuwapambania wanyonge.
Magufuli alipotwaliwa na mola wake adui zake wakiongozwa na wanachadema walionyesha furaha hadharani na kuamini mungu amejibu maombi yao. Kwa imani kwamba mungu amewaletea samia bila shaka wakampelekea fitna nyingi na mama kumtupa sabaya mtumishi mwaminifu wa umma gerezani.
Hii kesi ya sabaya kwa waliyoipanga lengo lao ni kumchafua magufuli. Leo fisadi na wakwepa kodi aliyotumwa sabaya kuwafuatilia ndio wanamuita sabaya jambazi. Hili halitakubaliwa na wananchi kama walivyokataa pale jaribio la kumchafua baba wa taifa lilifanyika na wapinga maendeleo.
Mahakama ipo/ zipo haki ya sabaya itapatikana na magufuli atabakia daima kwenye mioyo ya Watanzania.