Tuko kwenye maandalizi wa ujio jmpiganaji Abdallahman Kinana hapa jijini Arusha, kwasasa tunawaandaa waendesha pikipiki kwaajili ya kwenda kumpokea katibu wetu. picha za matukio zinakuja.
Nitazidi kuwapasha zaidi.
Updates
=============
Msafara wa viongozi wetu Kinana, Nape na wengine ndiyo wako mto nduruma lakini uwanja umefurika..
========
Kinana akiwa ameshawasili.
=====
Kinachoendelea kwasasa ni kuwapokea wale waliokuwa madiwani kupitia chama pinzania..
Nitazidi kuwapasha zaidi.
Updates
=============
Msafara wa viongozi wetu Kinana, Nape na wengine ndiyo wako mto nduruma lakini uwanja umefurika..
========
Kinana akiwa ameshawasili.
=====
Kinachoendelea kwasasa ni kuwapokea wale waliokuwa madiwani kupitia chama pinzania..
Attachments
-
100_2678.JPG374.6 KB · Views: 490
-
100_2679.JPG130.5 KB · Views: 415
-
ccm-arusha.JPG80.3 KB · Views: 8,855
-
100_2674.JPG74.7 KB · Views: 8,759
-
100_2676.JPG84.3 KB · Views: 8,597
-
100_2688.JPG349.2 KB · Views: 410
-
100_2689.JPG566 KB · Views: 703
-
100_2693.JPG143 KB · Views: 435
-
100_2694.JPG89.5 KB · Views: 734
-
100_2695.JPG137.5 KB · Views: 378
-
100_2690.JPG123.6 KB · Views: 7,054