Pumbafu huna lolote kibwengu wew,mbona mlikua mnamshangilia kama mazombie?Ok tuwache sheria imuhukumu hakuna aliyekamilika chini ya jua!
Pumbafu huna lolote kibwengu wew,mbona mlikua mnamshangilia kama mazombie?Ok tuwache sheria imuhukumu hakuna aliyekamilika chini ya jua!
Kisongo gereza gumu limejaa watu wa hatar
Daaah alivotoka kuoga tuu wakampaka mafuta aiseKisongo gereza gumu limejaa watu wa hatar
Jana sijui kama alienda kuoga teh teh teh maana ukingia siku ya kwanza unambiwa ukaoge teh teh jela dunia nyingine mzee
Ova
Hahaha aise nlijua tuDaaah alivotoka kuoga tuu wakampaka mafuta aiseView attachment 1809063
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hivi wanataka ukaoge ili iweje?Kisongo gereza gumu limejaa watu wa hatar
Jana sijui kama alienda kuoga teh teh teh maana ukingia siku ya kwanza unambiwa ukaoge teh teh jela dunia nyingine mzee
Ova
Kesi kuahirishwa kwa wiki mbili ni kawaida. Ndio utaratibu wenyewe kwenye kesi za jinai.Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.
Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?
Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.
Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?
Acheni kupokea presha za wanasiasa.
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.
Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?
Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.
Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?
Acheni kupokea presha za wanasiasa.
Hayo mashitaka yanayomkabili hachomoki akichomoka achinje Kondoo.Huyu dogo siku 7 tu kaisha hivi, akipiga miaka mitano kama Ruge si atabaki mifupa kabisa, tackle lote kwisha habari yake
View attachment 1808641
Unajua sheria we bwege? Inatakiwa mahabusu asikae rumande zaidi ya wiki mbili.Kesi kuahirishwa kwa wiki mbili ni kawaida. Ndio utaratibu wenyewe kwenye kesi za jinai.
Wewe ndiye unyetaka kuingilia kesi kisiasa na kuzivuruga mahakama. Shwaini
Aoshwe nini?Naona mmemtembelea kawatuma! Ngoja aoshwe
Labda atokee kwenye uharoDogo atatoka tu
Ni njia piaLabda atokee kwenye uharo
Mahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.
Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?
Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.
Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?
Acheni kupokea presha za wanasiasa.
Mkae kwa kutulia bwana wenu anyolewe kwa chupa shwaini nyinyiMahakama ni chombo huru, na hakitakiwi kuingiliwa na kutumika kisiasa.
Mtuhuliwa Sabaya ameshatinga kizimbani. Ushahidi upo tayari na victims wanaodai kutendewa hayo makosa wapo kama mashahidi wakuu sasa habari za kuahirisha wiki mbili za nini?
Wananchi tuna kiu kikubwa ili tupate ukweli hivyo fanyeni haraka ndani ya mwezi kesi ziwe zimeisha. Sikilizeni mashahidi watatu kila wiki mfululizo na kisha tupate majibu.
Dpp anadai amekamilisha ushahidi na akampandisha mtuhumiwa Sabaya mahakamani kwa nini kesi ichelewe?
Acheni kupokea presha za wanasiasa.