Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Huyu dogo siku 7 tu kaisha hivi, akipiga miaka mitano kama Ruge si atabaki mifupa kabisa, tackle lote kwisha habari yake
sby.jpg
 
Watz watu wa ajabu sana,hapo wengi kama mnafurahia hivi Sabaya kugeuziwa kibao.
Mi sioni hata baya alilofanya.
Mengi kafanya kutimiza majukumu yake, hayo ya pombe na malaya kwa umri wake ataacha vipi na hela na madaraka anayo?
Hapo ni fitnafitna tu tusishangilie upuuzi, mi nishawekwa ndani sana tu kwa kesi kutishia kuua za kubumba,nikahama nchi miaka 10 narudi maafisa uhamiaji wakaomba hongo Airport 2 hapo nikawanyima nikabambikiwa kesi ya madawa.
So hayo mambo kibongo yanaweza kumkuta yoyote saa yoyote, msikitikie mwenzio unapoona anapelekwa kule sio kufurahi,
Yanaweza kukukuta saa yoyote hapo,
Kuna siku pia naenda kwa mama hapo buguruni kituoni cha basi hao polis kmmk wametoka kushika vibaka huko wakaniunganisha nao nawaeleza nimetoka kazini nasubiri basi aah wapi hawaelewi ,
Nikawekwa lokapu baada kusachiwa wakakuta nna hela kibao na simu samsung slide miaka hiyo.
Wakalamba elfu 80(nyingi miaka hiyo),
na simu hawakurudisha.
Nikaambiwa tu njoo vaa viatu kimbia, yaani niliporwa na polisi.
Basi kuepusha shari nikatimka.
So uonevu, kubambikiwa kupo sana huko usifurahie mwenzio yanapomkuta anytime inaweza kukukumba.
 
Watz watu wa ajabu sana,hapo wengi kama mnafurahia hivi Sabaya kugeuziwa kibao.
Mi sioni hata baya alilofanya.
Mengi kafanya kutimiza majukumu yake, hayo ya pombe na malaya kwa umri wake ataacha vipi na hela na madaraka anayo?
Hapo ni fitnafitna tu tusishangilie upuuzi, mi nishawekwa ndani sana tu kwa kesi kutishia kuua za kubumba,nikahama nchi miaka 10 narudi maafisa uhamiaji wakaomba hongo Airport 2 hapo nikawanyima nikabambikiwa kesi ya madawa.
So hayo mambo kibongo yanaweza kumkuta yoyote saa yoyote, msikitikie mwenzio unapoona anapelekwa kule sio kufurahi,
Yanaweza kukukuta saa yoyote hapo,
Kuna siku pia naenda kwa mama hapo buguruni kituoni cha basi hao polis kmmk wametoka kushika vibaka huko wakaniunganisha nao nawaeleza nimetoka kazini nasubiri basi aah wapi hawaelewi ,
Nikawekwa lokapu baada kusachiwa wakakuta nna hela kibao na simu samsung slide miaka hiyo.
Wakalamba elfu 80(nyingi miaka hiyo),
na simu hawakurudisha.
Nikaambiwa tu njoo vaa viatu kimbia, yaani niliporwa na polisi.
Basi kuepusha shari nikatimka.
So uonevu, kubambikiwa kupo sana huko usifurahie mwenzio yanapomkuta anytime inaweza kukukumba.
Mkuu Tanzania ina wilaya ngapi Hadi iwe kwa Sabaya tu? Ma dc wengine walikuwa hawafanyi kazi?
Je, kutishia kuua Watanzania wenzetu ndo kazi za dc?,Je kujihusisha na vitendo vya rushwa,matumizi mabaya ya ofisi ya umma, kutumia bunduki za Watanzania kufanya ujambazi na unyang'anyi wa Mali za Watanzania wenzetu?Haya ndo majukumu ya dc?
Pia mkuu acha kujiondoa ufahamu,ujambazi na ukatili wa huyu jamaa ulitapakaa kila kona hata wanaochunguza habari za huyu jambazi walikuwa nazo siku nyingi.
 
Watz watu wa ajabu sana,hapo wengi kama mnafurahia hivi Sabaya kugeuziwa kibao.
Mi sioni hata baya alilofanya.
Mengi kafanya kutimiza majukumu yake, hayo ya pombe na malaya kwa umri wake ataacha vipi na hela na madaraka anayo?
Hapo ni fitnafitna tu tusishangilie upuuzi, mi nishawekwa ndani sana tu kwa kesi kutishia kuua za kubumba,nikahama nchi miaka 10 narudi maafisa uhamiaji wakaomba hongo Airport 2 hapo nikawanyima nikabambikiwa kesi ya madawa.
So hayo mambo kibongo yanaweza kumkuta yoyote saa yoyote, msikitikie mwenzio unapoona anapelekwa kule sio kufurahi,
Yanaweza kukukuta saa yoyote hapo,
Kuna siku pia naenda kwa mama hapo buguruni kituoni cha basi hao polis kmmk wametoka kushika vibaka huko wakaniunganisha nao nawaeleza nimetoka kazini nasubiri basi aah wapi hawaelewi ,
Nikawekwa lokapu baada kusachiwa wakakuta nna hela kibao na simu samsung slide miaka hiyo.
Wakalamba elfu 80(nyingi miaka hiyo),
na simu hawakurudisha.
Nikaambiwa tu njoo vaa viatu kimbia, yaani niliporwa na polisi.
Basi kuepusha shari nikatimka.
So uonevu, kubambikiwa kupo sana huko usifurahie mwenzio yanapomkuta anytime inaweza kukukumba.
Sijui hata kama umesoma ulichokiandika hapa? Yaani issue ya Sabaya anaonewa na polisi au mamlaka iliyomuweka hapo Hai? Mlishupaza shingo wakat watu wanalalamikia uonevu wa Sabaya na kibaya zaid mkahisi kina Sabaya wana haki ya kuishi kuliko wengine.
Kutokana na story yako hapa wewe ni above 40, sasa kwa umri huo mlitakiwa kumkemea Sabaya kipindi anaiongoza Hai lakni kwa ujinga wenu mlimuangalia Mbowe kama target mkasahau kuwa Sabaya anachupa mipaka anahitaji kukemewa afate sheria.
CCM ya Magufuli iliwafundisha vijana tabia chafu sana kwa kisingizio cha uzalendo, mliwatuma vijana wachape watu hadharan, watishie kutoa roho za watu wanaotoa maoni kinyume, walitukana hadharani na kulindwa na polisi, maovu yote hayo mliyafanya sheria bila kujali maumivu ya wengine.
Muombeeni Sabaya msamaha tu kama binadamu ila sheria ifate mkondo wake.
 
Sijui hata kama umesoma ulichokiandika hapa? Yaani issue ya Sabaya anaonewa na polisi au mamlaka iliyomuweka hapo Hai? Mlishupaza shingo wakat watu wanalalamikia uonevu wa Sabaya na kibaya zaid mkahisi kina Sabaya wana haki ya kuishi kuliko wengine.
Kutokana na story yako hapa wewe ni above 40, sasa kwa umri huo mlitakiwa kumkemea Sabaya kipindi anaiongoza Hai lakni kwa ujinga wenu mlimuangalia Mbowe kama target mkasahau kuwa Sabaya anachupa mipaka anahitaji kukemewa afate sheria.
CCM ya Magufuli iliwafundisha vijana tabia chafu sana kwa kisingizio cha uzalendo, mliwatuma vijana wachape watu hadharan, watishie kutoa roho za watu wanaotoa maoni kinyume, walitukana hadharani na kulindwa na polisi, maovu yote hayo mliyafanya sheria bila kujali maumivu ya wengine.
Muombeeni Sabaya msamaha tu kama binadamu ila sheria ifate mkondo wake.
Unaongea nini?Huyo Sabaya atashughulikiwa kwa makosa yake,i dont care.
Mbowe na Sabaya hawapishani chochote.
Ashafanya sana ufirauni pale bills kwa mabinti mabarmaid.
Anyway mi si mwanasiasa wala sishabikii chama chochote.
Sabaya akikutwa na mashtaka ashitakiwe,
ila sijapenda watu kushadadia hilo
Inaweza kukukuta hata wewe saa yoyote.
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Hii ni picha ya utawala wa mwendazake ,
 
Rugemalila na Habinder Sing Seth na wengine ambao hupelekwa mahakamani, huchuchumaa hivyo baada tu ya kutelemka kwenye gari na wakati wa kurudishwa rumande kabla ya kupanda gari. Mtuhumiwa ukiwa hauko kwenye motion (hutembei) unachuchumaa, hiyo ni kuimarisha ulinzi watuhumiwa wasikimbie. Watu wakiwa wamechuchuma hawawezi kukimbia. Mtu utakaye anza kusimama wakati uko kwenye amri ya kuchuchumaa utaonekana kwamba kuna jambo unataka kulifanya kuliko mkiwa mmesimama siyo rahisi kumgundua mtu mwenye nia ya kukimbia.
Kwahio ni ka-utaratibu fulani Je kautaratibu hako ni kazuri..., au ni kushushiana hadhi kwa mtuhumiwa kufanywa kama mharifu ? Samahani hata ilivyotokea kwa kina Rugemalila na yule kibaka wa kuku na simu sikusema ila sio kwamba nilifurahishwa..., Hii yote ni kujitayarisha na sisi potential watuhumiwa (mimi, wewe na yule) siku yakitukuta tupelekane kistaarabu mpaka pale makosa yetu yakithibitishwa ndio tunyooshwe..., ofcourse legally yaliyomkuta Rugemalila sio ubinadamu (hata kama ni fisadi, angekuwa proven guilty haraka kistaarabu then aadhibiwe ipasavyo)...
 
#29October2020; nilimkosoa Sabaya kuhusu kutumia magari yenye namba "feki" za UN kuteka na kuumiza wananchi wa Hai.

#30October2020; Sabaya akanipigia simu mara 3 sikupokea. Akaniandikia sms ya matusi na kutishia kuniua.

#1November2020; Nikascreenshot ujumbe huo na kumtumia rafiki yangu aliyekua kiongozi serikalini, just in case lolote likinitokea.

#26December2020; tukiwa eneo moja Moshi mimi na Don Mbowe, baada ya kuondoka Sabaya alivamia eneo hilo na kudai aoneshwe tulipo. Alipoambiwa tumeondoka alikataa kukubali. Akapiga risasi hewani na kuvuruga biashara eneo hilo.

#28December2020; Akakutana na binamu yangu Moshi (wanafahamiana). Akamwambia mpigie Malisa mwambie aje hapa, lakini usimwambie tupo wote. Jamaa akakataa. Akampiga na kumlaza rumande. Akamnyang'anya simu na hajamrudishia hadi leo.

#13May2021; Mama Samia akamsimamisha kazi kwa tuhuma mbalimbali.

#04June2021; akapandishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka.

Nimwambie nini Mungu?

Malisa GJ
 
Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA

Kingine ambacho kina mlengo wa SABAYA ambacho wapinzani uchwara hawajakijua ni kwamba SABAYA ni mkakati wa kisiasa kuiangamiza CHADEMA na kuibua upinzani na muda si mrefu Tundu Lisu wakishirikiana kwa karibu kabisa na NYALANDU atakuwa mtetezi wa SABAYA na hapo Tundu Lisu atatangaza kuhamia ACT WAZALENDO ya Zito kabwe itakayombeba SABAYA na wanasiasa wengine wenye msimamo wa kijamaa kutoka CCM haya Mambo hayaji kwa bahati Mbaya ni mojawapo ya mbinu 100 ya CCM
Ndiyo unajidanganya hivo?
Jamaa amepakwa mafuta tayar

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili

=====

UPDATES:

=====

Arusha. Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.

Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.

Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.

Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.

Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.

Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.

Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.

CREDIT: Mwananchi

Zaidi, soma: Thread 'Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18' Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
kikosi kazi, kiwa-hasi, pili wapatiwe mashababi wa kuwanyorosha huko nyuma, ndio wasubirie kesi zao.
 
Back
Top Bottom