Arusha kwatibuka CHADEMA wawakimbia CCM Narok

Hii haipo, haijatokea na wala usiitegemee Arusha. CCM mnalijua hilo na ndio maana mtoa thread umetumwa kupima upepo.

asee chaliangu kumbe upo asee,hili li-mbulula linaleta perepeche humu ndani,sijui hata linatokea wapi,tutalilima beto tumletee sereka,analeta u-maandazi huku,,,wewe Shondola,tutakushona,,,mbea mkubwa we mmxxxiiiuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Baraza la Vijana lililomaliza leo Mkoani Arusha Vijana waliungana pamoja kwenda Narok kwa ajili ya kushangilia na kufarahia maazimio yao.

Vijana hao wakiwa ndani ya Sare zao wakionesha kuwa na furaha, nguvu na mapenzi mema kwa Chama walianza kushangilia huku wengine ambao ni waimbani wakiimba nyimbo mbali mbali pamoja na Band ambayo hutumbuiza Narok.

Hali hii ilifanya baadhi ya Vijana wa CDM waliokuwepo hapa kuanza kutafakari na kutafuta cha kufanya baada ya kuona wamezidiwa. Kama kawaida yao walianza kelele na matusi. A kunyanyua tuvidole vyao juu hali iliyowafanya vijana wa CCM kutibuka na kuanza kuimba CCM! CCM! CCM! CCM! CCM........

Hali hii iliendelea kwa muda na baada ya CDM kuona wamezidiwa nguvu walianza matusi ila kama kawaida yao na kutokana na ukongwe wao Vijana wa CCM waliaapuuzia wakiwashauri warudi wakakomezwe kisiasa ili walje delea na matusi.

Hali ilianza kuonekana kuwa mbaya baada ya wana CDM kuanza kutaka kuzusha ugomvi jambo lililomfanya mmoja kati ya wateja wenye mapenzi mema na amani kupiga risasi tatu juu na hapo ndipo wanaCDM walipoondoka kwa aibu huku Vijana wa CCM wakiendelea na burudani kali........

CDM sasa anzeni kuaga......

Baa ni sehemu ambayo watu huwa wanastarehe zao baada ya kazi za kutwa nzima. Hao vijana wa CCM ukiwemo na wewe kuingia na kupiga kelele imeonyesha dhahiri jinsi msivyo na hekima na kutojua siasa zinafanyiwa sehemu gani.
 
Hii haipo, haijatokea na wala usiitegemee Arusha. CCM mnalijua hilo na ndio maana mtoa thread umetumwa kupima upepo.

asee chaliangu kumbe upo asee,hili li-mbulula linaleta perepeche humu ndani,sijui hata linatokea wapi,tutalilima beto tumletee sereka,analeta u-maandazi huku,,,wewe Shondola,tutakushona,,,mbea mkubwa we mmxxxiiiuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Taarifa za walevi wa baa unaletahumu ili iwejee??
Narok ni baa,sasa kwa wasiojua naro wanadhani ni wilaya au kitongoji.
Jamani mlevi tu huyo mpuuzeni,hao ni wale watu cheap,wananunuliwa kwa bia mbili alafu wanagawa kura inayokuja kutesa watoto wake kwa miaka mitano kama sio maisha yake yote,kwani msingi ndio kila kitu.
 
Hayo yalitokea lini?? Mi mwenyewe niko Arusha sijapata hizo!!


Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
nahisi nimekosea njia habari hii haina mashiko.mimi sijui cdm nao walikua na paty hapo norok bar?yani kweli njia za mwongo kweli nifupi.alafu wewe mleta mada kamwambie boss wako nape nauye akupe semina ya kuweka therd za uongo kama hizi nivigumu kwa mtu mwenye elimu ya darasa la awali kama wewe kuiletea ccm mafanikio kwa nafasi hii uliyopewa ya kutudanganya hapa jf.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom