kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,292
- 7,640
Kwani Pamela ashaondoka BOT?yule binti ana kiburi saana,hana nidhamu hata moja.Ha ha ha! Watu mnapenda sana kujipendekeza kwenye familia za wenye nazo, labda useme wewe Jane ni mtoto wa Kaka au mdogo wake na Lowassa na sio eti wewe ni mtoto wa Eddo! Nakataa tena kwa herufi kubwa! Watoto wa Edward Ngoyai Lowassa hawana hata mda wakushinda nakujibishana humu JF!
1. Fred Lowassa
2. Dr Adda Lowassa
3. Pamela Lowassa alishawahi fanya kazi BOT ni mke wa Sioi Sumari
4. Robert (Bob) Lowassa
5. Richard Lowassa!
Sasa kati ya Pamela na Dr Ada wewe ndiyo yupi sasa!