Kijana mmoja wa chadema ambae amejeruiwa vibaya na mlipuko wa bomu polisi na usalama wa taifa wamzingira na kutaka kumchukua wakidai wa kuwa ndio muhusika wa kurusha bomu,cha kushangaza na kusikitisha sana yeye huyo kijana amezurika vibaya na bomu kwanye mguu swali nililowauliza polisi muda huu hapa seliani je?huyu bwana kama yeye ndo muhusika mbona kaumia,akanijibu sisi taharifa yoyote tunayopata tunaifanyia kazi,ndugu zangu watanzania kwa jinsi nilivyoona nimegundua kuna mchezo unataka kuchezwa wa kubadilisha ukweli kuwa uongo,mambo yaleyale ya ambrosin funika jamvi mwana haramu apite.