Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Aliyekuwa diwani wa kata ya Elerai kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo kabla hajanunuliwa na chama cha Mapinduzi, anatafutwa na polisi baada ya kushindwa kulipa pesa walio amriwa na mahakama baada ya kushindwa kesi waliyofungua kupinga kufutiwa uanachama wa CHADEMA yeye pamoja na madiwani wenzake wanne Rehema, Mpanda,Rouben na Malla...