Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wakati chadema wakishangilia "kujimwambafai" kwa JK na waraka wa Membe walioandikiana na Askofu Mwamakula kwa njia ya mtandao, CCM wao wanapita kila nyumba kuhamasisha watu kwenda kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa selikali za mitaa.
Mpaka muda huu nimeshafuatwa na wajumbe 2 wa ccm wote wakiniomba niende kujiandikisha kwenye daftari kwa ajili ya kupiga kura. Sijamuona chadema hata mmoja ni kama hawapo kabisa,,!
Hivi huku mitandaoni ndio mtapiga kura?
Yani hata ZITO anawashinda? Nyie mme ng'ang'ania tu kumtetea Mbowe hivi mnategemea ushindi unakuja mezani?
Ok. Endeleeni kumshangilia Membe kiboko ya jiwe yeye ndio atawapigia kura na kuwatangaza washindi.
Unataka wakamatwe? Unajua ccm mpaka mikutano wanafanya na hawafanywi kitu lakini upinzani hata vikao vya ndani wanavamiwa! Mkurugenzi ameshindwa kuwahamasisha wananchi?
Ni uoga wenu tu mkuu.. Ccm mnatakiwa muwapige mikwara, we unafikiri mkiwadishia watafanya nini?
Leo akiwa Katavi kasema miaka mitano ni ya Chama Tawala kisiingiliwe mpaka muda utakapoisha wataambiwa sasa wote ingieni.Cjana tu kasema haki itendeke?kwl bongo baht mbaya
Hapo wajiandae kufunguliwa mashtaka ya UTAKATISHAJI FEDHA na UHUJUMU UCHUMI.
Halafu wanasema tumwombee, tangu lini shetani aliyelaaniwa akaombewa