King Maker
Member
- Mar 8, 2018
- 89
- 117
Utaonaje wakati mnavaa miwani ya kuchomelea magetiMi mbona sioni anachofanya magufuli?
Utaonaje wakati mnavaa miwani ya kuchomelea magetiMi mbona sioni anachofanya magufuli?
Tumevaa miwan bado hatuoni huenda yangesadia kuonesha lakin wap unakijua ulichopost pakin?Utaonaje wakati mnavaa miwani ya kuchomelea mageti
....
Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro amesema madiwani waliojiuzuru walitokana na mafuriko ya mwaka 2015 na walikuwa hawajui joto la kuwa kiongozi wa upinzani...