Arusha dhidi ya Morogoro

Salt Bae

Senior Member
Jan 9, 2019
140
196
Wana MMU naomba mnifahamishe kati ya A Town na Moro Town ni mkoa upi bora kwenye nyanja za

Miundombinu ya barabara na usafiri
Huduma muhimu zakijamii kama maji na umeme
Mpangilio wa mji na usafi
Uzuri wa mji na vivutio

Mwisho mji upi una watoto wakike wazuri

Nawasilisha
 
Watoto wa kike wazuri ila wezi nenda kahumba Moro..unaweza ibiwa mpaka mbupu
 
Tafuta uzi umu unaitwa: Arusha ni mji unaokuzwa(overrated), maswali yako yote utapata majibu
 
Morogoro kumepangika vizuri kuliko Arusha, ina maana hii moro mji ulipangwa mapema kuliko arusha ambapo mji ulichelewa kupangwa na ndiyo maana mpaka leo bado kuna maboma ya wameru/waarusha hapo mjini badala ya kuwepo mitaa if mianzini, sakina, ngarenaro nk.

Kwa upande wa huduma mikoa yote ina huduma muhimu za kijamii.

Warembo ngoja vijana wenzako watakupa mrejesho 😂.
 
Wana MMU naomba mnifahamishe kati ya A Town na Moro Town ni mkoa upi bora kwenye nyanja za

Miundombinu ya barabara na usafiri
Huduma muhimu zakijamii kama maji na umeme
Mpangilio wa mji na usafi
Uzuri wa mji na vivutio

Mwisho mji upi una watoto wakike wazuri

Nawasilisha
Arusha huwezi fananisha na Morogoro,ila napapenda Moro kwa sababu zangu binafsi, ni pale mjini mitaa ya masika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijaishi Arusha nimepita tu..lakini leo kufananisha Moro na Arusha ni dharau sana sana...Moro patamu km una maisha yako na sio ntu wa starehe...!maisha yako chini kbs...!mayb arusha pataboa kwasabb ya baridi..otherwise kila la heri
 
Atleast mfananishe Moro na Mafinga au Makambako..bado Moro patafunikwa mbya sana....mayb mfananishe Moro na Ifakara moro patakuwa juu kiducchuu
 
Nimeishi Moro kwa zaidi ya miaka 8, nikanunua kiwanja maeneo yoa kihonda kwa chambo njia ya mazimbu.

Nikaja Arusha kwa miaka zaidi ya 7 now nikanunua kiwanja na kujenga kabisa kiufupi nimejiestablish huku mazima, ukweli ni kwamba Morogoro kawa Arusha haiingii labda kwa punje ya maharage, Moro bado mji upo chini sana kwa karibia kila kitu compared na Arusha.

Kwa upande wa totoz, wazee kuweni serious basi hivi unalinganishaje Arusha na Moro?

Arusha ndo mji wenye watoto wakali tatizo tu hawajielewi kuwa wakali they take it simple hadi wafike mikoa mingine kusiko na manzi wakali wakiambiwa wakali na kufukuziwa kupita kawaida kama ndo wanashituka nakujigundua ukali wao. Angali manzi wengi wakali wanaotikisa hii nchi wanatokea kaskazini esp Arusha.

Arusha inakuwa hivyo kwa sababu ya mchanganyiko wa makabila yenye sifa za kuwa na wasichana wazuri ie. Chagga, Pare, Rangi, Wairaq (Wambulu), Mangati, Wanyaturu etc....

Naongea kitu ambacho nakielewa na nina uhakika nacho!!

I submit,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeishi Moro kwa zaidi ya miaka 8, nzikanunua kiwanja maeneo yoa kihinda kwa chambo njia ya mazimbu.

Nikaja Arusha kwa miaka zaidi ya 7 nikanunua kiwanja na kujenga Moshono, Ukweli ni kwamba Morogoro kawa Arusha haiingii kbs. Moro bado sana mji chini sana kwa karibia kila kitu compared na Arusha

Kwa upande wa totoz, wazee kuweni serious basi hivi unalinganishaje Arusha na Moro?

Arusha nadhani ndo mji wenye watoto wakali tatizo tu hawajielewi kuwa wakali the take it simple hadi wafike mikoa mingune kusiko na manzi wakali wakiambiwa wakali ndo wanashituka. Angali manzi wengi wakali wanaotikisha hii nchi wanatokea kaskazini esp Arusha.

Arusha inakuwa hivyo kwa sababu ya mchanganyiko wa makabila yenye sifa za kuwa na wasichana wazuri ie.chagga, Pare, rangi, wairaq (Wambulu), wanyaturu etc....

Naongea kitu ambacho nakielewa na nina uhakika nacho!!

I submit,

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kweli usemayo mkuu...!moro pakawaida saaaanaaaa..!huwez mfananisha mluguru na muarusha kbs.pamejidodea tu...100%wafanyakaz mnajuana huyu yuko nmb ,sua etc😏
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom