Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Asante Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wasaidizi wako hususani Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kamati yake ya Usalama pamoja na Wananchi wote wa Arusha.
Hili limewezekana na litadumu kote Nchini.
Watanzania msiyumbishwe na kudanganywa na waharibifu ambao ni vibaraka wanaotafuta kuiharibu nchi yetu.
Mmewakataa kwenye uchaguzi sasa wanatafuta kutumia damu zenu wafikie malengo yao dhalimu. Hawa ni hatari na wa kuepukwa kama ukoma.
#webcumcallgirlcannevermanipulateoursociety#
Hili limewezekana na litadumu kote Nchini.
Watanzania msiyumbishwe na kudanganywa na waharibifu ambao ni vibaraka wanaotafuta kuiharibu nchi yetu.
Mmewakataa kwenye uchaguzi sasa wanatafuta kutumia damu zenu wafikie malengo yao dhalimu. Hawa ni hatari na wa kuepukwa kama ukoma.
#webcumcallgirlcannevermanipulateoursociety#