MkereketwaArusha
New Member
- Jun 17, 2022
- 1
- 3
Licha ya Kuwa Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr John Pima na Wenzake wanne amefikishwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi bado kuna baadhi ya vishoka ambao wamesalia ambao wakiendelea kuachwa wataharibu kabisa jiji la Arusha Na hili nakuomba sana viongozi wa Chama cha mapinduzi na serikali kuona namna ya kuwaondoa hawa chawa ili kuendelea kuliacha jiji la Arusha salama na safi kabisa na wananchi wanufaike na kile wanachopata kutoka kwenye Serikali yao.
Mfano kama leo amepelekwa Mahakamani lakini hao hao chawa walienda kumuwekea Dhamana na hili wanaamua kwenda kumuwekea dhamana Mwizi na jambazi na hela za umma kodi za watanzania watu gani wanatetea wizi bwana mfano hawa ondoeni kabisa takataka hizi mlibakize jiji salama kabisa
Ondoa na hivi virusi kina Alhaji Akida ambae ni mkaguzi wa ndani, Hassan Hassani afisa elimu vielelezo, Batuli kisaya mwalimu kata ya Terati, Mary Mwita ambae ni kibarua wa mapato kwenye mizani, Laiteitei afisa uchaguzi ,Kina Florence ,Loisia yeye ni cashier, Ibrahim Kijanga katibu UVCCM mkoa, wote hawa ni vibaraka wa kushabikia wizi na kuchafua viongozi wanaosimama kupinga wizi wa mali za wananchi.
Hawa watu kama wanachukizwa na wizi wa mali za umma na watu kujilimbikizia pesa za wananchi walikuja mahakamani kumtetea mtu mwizi
Mh Kasimu Majaliwa asante sana kwa kutuondolea kirusi kilichokuwa kinakukwamisha serikali mnatoa hela anakula na mahawara zake sasa huyu Mary Mwita anafanya kaz gani kwasasa hivi
Ameletwa kaimu Mkurugenzi mpya ili asikwame kuleta maendeleo ondoeni hao chawa ili mumsaidie mama Samia kwa maslahi ya maendeleo ya wananchi wa Arusha.
Lakini sijui kwanini aliletwa mtu mtafuna mali za wananchi naomba filisi huyu mtu arudishe hela za wananchi halafu na ile nyumba alimjengea katibu mkuu nayo afilisiwe .
Alichokipanda ndicho atakachovuna
Mimi Mzalendo tu wa Arusha
Mfano kama leo amepelekwa Mahakamani lakini hao hao chawa walienda kumuwekea Dhamana na hili wanaamua kwenda kumuwekea dhamana Mwizi na jambazi na hela za umma kodi za watanzania watu gani wanatetea wizi bwana mfano hawa ondoeni kabisa takataka hizi mlibakize jiji salama kabisa
Ondoa na hivi virusi kina Alhaji Akida ambae ni mkaguzi wa ndani, Hassan Hassani afisa elimu vielelezo, Batuli kisaya mwalimu kata ya Terati, Mary Mwita ambae ni kibarua wa mapato kwenye mizani, Laiteitei afisa uchaguzi ,Kina Florence ,Loisia yeye ni cashier, Ibrahim Kijanga katibu UVCCM mkoa, wote hawa ni vibaraka wa kushabikia wizi na kuchafua viongozi wanaosimama kupinga wizi wa mali za wananchi.
Hawa watu kama wanachukizwa na wizi wa mali za umma na watu kujilimbikizia pesa za wananchi walikuja mahakamani kumtetea mtu mwizi
Mh Kasimu Majaliwa asante sana kwa kutuondolea kirusi kilichokuwa kinakukwamisha serikali mnatoa hela anakula na mahawara zake sasa huyu Mary Mwita anafanya kaz gani kwasasa hivi
Ameletwa kaimu Mkurugenzi mpya ili asikwame kuleta maendeleo ondoeni hao chawa ili mumsaidie mama Samia kwa maslahi ya maendeleo ya wananchi wa Arusha.
Lakini sijui kwanini aliletwa mtu mtafuna mali za wananchi naomba filisi huyu mtu arudishe hela za wananchi halafu na ile nyumba alimjengea katibu mkuu nayo afilisiwe .
Alichokipanda ndicho atakachovuna
Mimi Mzalendo tu wa Arusha