Ricecooker
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 501
- 896
Wote wamewaacha wake zao mtaani.so sad
Haka Kasukuma kanyongwe tu, ukute kenyewe hakana upendo kwa mkewe sasa mwenzake alivyokuwa akimtania shemeji yake kakaajua expansion joint inafumliwa!
Hahaaa we jamaa kiboko!Si wameshajengewa kota mpya...ndio wanazindua hivyo!!
Mapenzi lazima yakuache ukiwa chizi ama marehemu....safi sana
Mmh akupokee? Hivi kuna kupokeana kule??Unakosea Mr popoma
Muombee mtu Alietangulia mbele za haki ili Kesho akupokee na akuonyeshe njia ya peponi