tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Chalii bangata ni waarusha unaweza kupandia ngulelo stand ndio njia ya karibu...wameru wako baada ya ndurumaWameru sio watu wamchemchezo watawaua hao askari wote. Hao watu wana roho ngumu kinyama kukukatakata kama kuni kwao ni kitu kidogo sana.