Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
🤣🤣Aaaah. nilikwishasikia hii kitu. Mila nyingine ni ushetani kabisa.
🤣🤣Aaaah. nilikwishasikia hii kitu. Mila nyingine ni ushetani kabisa.
Wamasai huwa hawabaki! Huo ni utaratibu wao tu wa kawaida! Ukiwauliza wanakuambia wenyewe eti hawana wivu!Wamasai ni shida si angetafuta wa kwake badala ya kutaka kubaka shemeji yake
Kujifinya sawa....Wengine wanajifinya kivyao wanamaliza silence
Hii ni kawaida sana haswa kwa tembo dume…Nyege sasa zimefikia hatua mbaya sana. Zinavuka mipaka
Aisee..Huyo ana tatizo mahali! Kuna fuse zimekatika.
Mimi ni Mmasai. Kiuhalisia shemeji (mke wa kaka au mdogo wako) ni watu ambao kamwe hata sehemu moja hamuwezi kukaa. Ni watu wanaoheshimiana sana.
Akikukuta mahali basi wewe unaondoka ama yeye arudi.
Kama mna maongezi (lomoni) basi mnakaa sehemu ambapo hata hamuonani. Mnasikiliziana tu sauti.
Sasa mpaka inafikia hatua ya kutaka kumlala shemeji yake, ni laana kubwa sana. Haikuachi salama hata kidogo.
Kuna watu na maasai!
cc Semenya wa Ukaldayo Ncha Kalikumkata na kitu chenye ncha kali
Wanadamu wamekua katili sanaYaani nilikuwa nasoma Uzi wa mauaji Geita nikajikuta natobokea tena kwenye Uzi wa Mauaji Arusha, yote ni Ngono tu
Huyu Masai nyege zimempanda mpaka kapandisha mori nakumuua kaka ake kweli nyege mbaya ngoja naye akapakatwe wanyampala
Jeshi la polisi mkoani Arusha linamshikilia Melita Ndaletyan, mfugaji na mkazi wa Noondoto wilayani Longido, baada ya kumuuwa kwa kumkata na kitu chenye ncha kali shingoni Kaka yake Kiseri Ndaletyan, baada ya mtuhumiwa kuzuiliwa kumuingilia kimwili mke wa kaka yake huyo.
Malizana nayo, asubuhi utasoma tena, uzi si upo tu.Sijaelewa sijui ni hii kvant
Hii ni nomaKuna watu na maasai!
Inawwzekana alitaka kufanya marudio alisha ionja ya shemeji kabla ya hapo.jamaa ni nouma, yaani alitaka kuula mzigo wa kaka yake aliye hai - hii kitu ni taam aiseee... inaweza kugombanisha ndugu wa damu adi mauti.