Arusha: Ashikiliwa kwa kosa la kubaka watoto wake wa kike

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,853
Fundi mbao, Japhet Lendiman (38) mkazi wa Daraja Mbili, anashikiliwa na Jeshi la Polisi, baada ya kubaka watoto wake wa kike wa darasa la sita na kidato cha kwanza.

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo alisema kuwa polisi wanaendelea na uchunguzi ili kubaini kiini cha tatizo hilo ni nini na kufuatiwa na hatua ya kufikishwa mahakamani.

Mtuhumiwa huyo anashikiliwa na Jeshi la polisi tangu Juni 6, mwaka huu na upelelezi unaendelea kubaini undani wa tukio hilo. Akimzungumzia mtuhumiwa huyo, mmoja wa majirani wa eneo hilo la Daraja Mbili (jina limehifadhiwa) alidai kuwa mzazi huyo amezoeleka kwa tabia hiyo mbaya mtaani kwao.

Alidai kuwa mtuhumiwa huyo amezoea kubaka watoto wake mara kwa mara wakati mama yao akiwa kazini na kwamba Mei 28 majira ya saa 9:00 alasiri alimbaka tena mtoto wake (Jina tumelihifadhi) wa darasa la sita shule ya Msingi Daraja Mbili ndipo taarifa zilipoanza kuzagaa mtaani.
 
HUWA NAWASHANGAA SANA WANAHARAKATI ETI WANAPINGA SHERIA YA KUNYONGA WATU
 
Fundi mbao, Japhet Lendiman (38) mkazi wa Daraja Mbili, anashikiliwa na Jeshi la Polisi, baada ya kubaka watoto wake wa kike wa darasa la sita na kidato cha kwanza.


Daraja mbili zipo kila kona nchi hii, hiyo ya kwako ni ya wapi
 
Huyo jamaa anyongwe maana hakuna namna na havumiliki kwenye jamii ya wastarabu kama nanyupu
 
Tumekimbilia kumlaani huyu baba ila, kama alianza na mkubwa na baadaye mdogo wake, mambo yakiwa saafi hadi akaamua kuuchonga mzinga na kuanza kula mayai mchana peupeee!! Ati, mama akiwa kazini!! Jamani, tujifunze kufikiri kidogo. Hebu tuweke kanukta kabla ya kufanya maamuzi.
Swali kwenyu wamama wa fj. Hivi una muda na watoto wako wa kike kweli?? Amlambe wa kwanza, halafu wa pili. Azoee hadi aamue kulamba mchana. Hapo kasoro iko kwa mama sio baba wala watoto. Huyo mmama ni msheeenzi sana. Hajui wajibu wake tangu ndoa hadi malezi
 
Tumekimbilia kumlaani huyu baba ila, kama alianza na mkubwa na baadaye mdogo wake, mambo yakiwa saafi hadi akaamua kuuchonga mzinga na kuanza kula mayai mchana peupeee!! Ati, mama akiwa kazini!! Jamani, tujifunze kufikiri kidogo. Hebu tuweke kanukta kabla ya kufanya maamuzi.
Swali kwenyu wamama wa fj. Hivi una muda na watoto wako wa kike kweli?? Amlambe wa kwanza, halafu wa pili. Azoee hadi aamue kulamba mchana. Hapo kasoro iko kwa mama sio baba wala watoto. Huyo mmama ni msheeenzi sana. Hajui wajibu wake tangu ndoa hadi malezi
Huku ni kutetea ujinga wangekuwa dada zako ungefurah?
 
Huyo wangemhasi kwanza ndio apelekwe magereza
Wamtoe meno yote na kucha afu wampeleke huko ili aone ilivyo ngumu kula
amtoe jicho moja ili asirudie kufanya hicho kitendo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom