Kama wenzao wa Mara ndo maana wanawezana akili zaoWrite your reply...watu wa mkoa huo asilimia kubwa wanaona ugomvi ni ufahari,tena wanajisifu .si wanawake au wanaume akili yao moja.
Kama wenzao wa Mara ndo maana wanawezana akili zaoWrite your reply...watu wa mkoa huo asilimia kubwa wanaona ugomvi ni ufahari,tena wanajisifu .si wanawake au wanaume akili yao moja.
Ni kweli, kuna dogo wangu ye ni bangi tu toka amebalehe mpk leo,30 yrs sijawai kumuona amkorofishe mtu,apigane wala azinguane na mtu.Bangi sio mbaya… kuna wavutaji baadhi ndiyo wapuuzi.
La Mama yaoWanaume wanagombania Jiko
Nilitegemea comment hii maana nawe ni muasisiBangi sio mbaya… kuna wavutaji baadhi ndiyo wapuuzi.
Lkn upande mwingine huyo Mama ni chanzo Cha yote hayo, kwani angeacha jiko likatumika angedhurika Nini?Bangi mbaya
Kuna wameru, wamasai, watu wa Mara hizi jamii wakorofi sanaWameru hao huwa ni wakorofi balaa..niliwahi kupendwa na demu wa kimeru,sasa kuna wakati anakuwa yuko breed halafu anang'ang'ania kuja kulala gheto😁😁 unamuuliza unakuja kufanya nini? Kanajibu nakuja kulala tu...
Watu wanaovuta bangi wanajitambua sana huyo mtuhumiwa hayupo sawa mentallyNi kweli, kuna dogo wangu ye ni bangi tu toka amebalehe mpk leo,30 yrs sijawai kumuona amkorofishe mtu,apigane wala azinguane na mtu.
Kuna siku niliianzisha mahali kitimtim kweli dogo kabaki kulia tu badala ya kunisaidia.