Ingekuwa Saccos msingeikimbia wakati wa kuchukua fomu na kuizuia kufanya mikutanoPole sana Meya mstaafu lakini pia hongera kwa uamuzi wa kujiondoa kwenye Saccos ya Chadema!
Utadhani jpm ni Mungu! Yeye mwenyewe anatafuta wanaccm wamkumbuke 2020 na kumsahau Kachero mbobezi Bernard Kamilius Membe ambaye anachukua jaramba kimyakimya.Mayor amechagua lililojema ,jpm atamkumbuka huko mbeleni
State agent
SanaaMkurugenzi atakuwa na sababu nyingine tu
Kama Magufuli na team yake wanamuona Membe ni tishio kwa nafasi yao 2020 wewe magu2016 ni nani hadi uwapinge?Endelea kuota na huyo Membe wenu. Najua ndiyo mgombea wenu wanasaccos ya Chadema 2020!
Mayor amechagua lililojema ,jpm atamkumbuka huko mbeleni
State agent
Heri yao kuliko wabunge wa ccm kichwani ni kinyesi tupuKifupi huyu meya Mimi Ni mmoja niliyekuwa namuunga mkono kwa kazi zake akiwa chadema.Mimi chadema Nina watu watatu tu ninaosifu kwa utendaji wao huyu meya wa Arusha Kalisti Lazaro,meya wa Moshi mjini na mbunge wa Momba.
Calisti Lazaro alikuwa na uwezo mkubwa Hadi wa kutafuta wafadhili wa nje kusaidia Manispaa ya Arusha .Kwa chadema meya mwingine ninayemkubali utendaji wake ni meya wa Moshi mjini.Yuko vizuri
Kwa wabunge Ni mbunge wa Momba tu.Wabunge wengine wa Chadema vichwani sifuri.Huyo mbunge wa Momba Ana akili sio utani chadema Haina mbunge mwenye akili nyingi Kama wa Momba
Anamlilia mwanaume mwenzake kweli ccm kuna watu wa ajabu sanaMkurugenzi kafanyaje?
Mwenye clip ya Mkurugenzi kumwaga chozi aiweke tafadhari
Hakika, lazima atalipwa fadhilaMayor amechagua lililojema ,jpm atamkumbuka huko mbeleni
State agent
Kifupi huyu meya Mimi Ni mmoja niliyekuwa namuunga mkono kwa kazi zake akiwa chadema.Mimi chadema Nina watu watatu tu ninaosifu kwa utendaji wao huyu meya wa Arusha Kalisti Lazaro,meya wa Moshi mjini na mbunge wa Momba.
Calisti Lazaro alikuwa na uwezo mkubwa Hadi wa kutafuta wafadhili wa nje kusaidia Manispaa ya Arusha .Kwa chadema meya mwingine ninayemkubali utendaji wake ni meya wa Moshi mjini.Yuko vizuri
Kwa wabunge Ni mbunge wa Momba tu.Wabunge wengine wa Chadema vichwani sifuri.Huyo mbunge wa Momba Ana akili sio utani chadema Haina mbunge mwenye akili nyingi Kama wa Momba
Kama Chadema ni mashetani vipi nyie nzi wa kijani mliofikia mpaka hatua ya kuua watu ili muendelee kuitawala Tanzania?Chadema ni shetani anayetembea ,wanawezaje kumshurutisha mayor avuruge utendaji wake for political gain ,very cheap politics
State agent
Hongera daqquaro mkuu wa wilaya umemrudisha Garmaa mwenzako nyumbaniSasa huyo Mkurugenzi analia nini wakati atarejeshwa kwa mlango wa uani! Upinzani una safari ndefu sana.
Anaitwa nani huyo wa momba?Kifupi huyu meya Mimi Ni mmoja niliyekuwa namuunga mkono kwa kazi zake akiwa chadema.Mimi chadema Nina watu watatu tu ninaosifu kwa utendaji wao huyu meya wa Arusha Kalisti Lazaro,meya wa Moshi mjini na mbunge wa Momba.
Calisti Lazaro alikuwa na uwezo mkubwa Hadi wa kutafuta wafadhili wa nje kusaidia Manispaa ya Arusha .Kwa chadema meya mwingine ninayemkubali utendaji wake ni meya wa Moshi mjini.Yuko vizuri
Kwa wabunge Ni mbunge wa Momba tu.Wabunge wengine wa Chadema vichwani sifuri.Huyo mbunge wa Momba Ana akili sio utani chadema Haina mbunge mwenye akili nyingi Kama wa Momba