Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 549
Mwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?