Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Hahahaa Ben the looser eti Slaa anajua unafanya nini, huyu huyu Slaa aliyekuita mhaini usimsingizie. Hutaki kufungua matawi ya chama unataka ufanye nini, ukakae ofisini? ohoo poor the Boss kumbe hata siasa hujui.
I can imagine a picture of a young man who is so desperate after making a stupid mistake of organizing an illegal alliance in Chadema. Baada ya kushindwa ndani ya Bavicha sasa anaongoza alliance nyingine ndani JF eti wanajiita Guerilla Movement Group another grave mistake in political arena, hizo ni speed za mende tu zitaishia chini ya kabati. Quinine ameziita movements zako 'Malema Type', umeona mentor wako alipoishia at least yeye alikuwa na base wewe huna hata ofisi ya shina you wont go anywhere.
Chadema haihitaji movements hizo inahitaji watu wa kwenda vijijini kama kina Heche, kina Zitto wanashinda vijijini wanalala vijijini wananyeshewa mvua vijijini si tunawaona? Juzi walikuwa Tanga wewe unataka uwe boss ofisini mtaa wa Togo ukitoka unahudhuria mkutano pale Ubungo Plaza baada ya hapo unakwenda kupumzika Nairobi, if that is what you are looking for you won't find in Chadema huo ndio ukweli ambao hutaki kuusikia.
A piece of advice instead of fighting a war that you know you will never win better find a respective job related to your qualifications PA, the job i can suggest is a personal secretary. Good Luck.
huyo janjaweed sijui mtamzuiaje huko.hivi nini msimamo wa chadema kuhusiana na ghaddafi au utawala wa mugabe zimbawe.naona ben yeye yupo na misimao yake na kuwaita wapinzani kule zimbabwe kama akina moragan tsavangirai kuwa ni vibaraka.na vipi chadema ina uhusiano na chama gani kenya?chadema iko upande wa akina uhuru kenyatta (sera ya vijana) au inaegemea upande wa akina odinga?kuna kijana anaitwa lewis onyoni ben alikuwa na ugomvi nae hadi sasa jama anatumia muda hadi kuunga mkono mahasimu wa huyo kijana kwenye kura za maoni ndani ya chama chao.huyo kijana ana tofauti na ben tangu chuo kikuu lakini visasi hawamalizi na tenda ya kuchapa t-shirt za huyo mpinzani wa lewis nchini India ben saanane ndiye anayeunganisha
Kusema kweli sijui ni kitu gani kinampa kujiamini kiasi hiki.