Wanachadema wa kweli wanaendelea kujipambanua katika hii thread na wapika majungu wa magamba wanaendelea kujulikana.Thread hii na ile ya kibaraka Tuntemeke Sanga zimenifurahisha sana.Keep it up wapambanaji.Wapende wasipende tuna imani kubwa na mashujaa Mbowe na Slaa.Magamba mtajamba cheche lakini Mashujaa hawa watachaguliwa tena kuiongoza CDM katika awamu nyingine kwa kishindo kikubwa.Kalaghabaho!!