Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
KANU pia ilikufa haraka kwa sababu ya kuhamwa na wanachama! Huu ni uelekeo mzuri wa kuimaliza CCM! CHADEMA wapokeeni.
Wanakaribishwa sana, Hata hivyo, napendekeza huko mbleleni kuwa tunahitaji mafunzo hata ya siku moja ya kuwabadili kimawazo makada wanaotoka ccm. Wengi wanadhani kuwa siasa za chadema na ccm ni zile zile. Kumbe siyo.