Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
wanabodi Jana nilikwenda Arusha kwa shughuli zangu binafsi. nilikutana na marafiki zangu flani mitaa ya Usa River. wakati tunajadili mambo yetu na badhi ya vijana pale USA tukagusia kidogo swala la Uchaguzi wa Arumeru kwani naamini kuwa siasa ni kila kitu kwenye nchi hii. Likatokea kundi la vijana wakaanza kutuchapa fimbo kila mahali wanapoona! niligundua kuwa ni Vijana wa Kikosi maalumu cha CCM ambacho kinaendesha vitendo hivyo vya kikatili kwa wananchi. Nilienda kuripoti polisi lakini cha ajabu polisi walituangalia tu bila hata kuhoji hayo matukio yanatokea wapi na hata RB tulinyimwa kwa kuitwa wazushi na waongo.
Je! ikifika wakati wa chaguzi ndo nchi inakuwa hivi?
Hivi CCM wanadhani watatuwala milele?
Ifikie hatua sasa kuonewa na kunyanyaswa ifike tamati. tuchukueni hatua ! hii kauli ya CDM tunasema kuwa wao wana fedha sisi tuna Mungu halafu tunaacha tunyanyasika hivi huu ni Ujinga. Mungu ndio tunaye lakini Hata mungu hataki vijana wachovu. NA DECLARE WAR. ama zao ama zangu. niungeni mkono bado nipo ARUMERU mtasikia tukio la kusikitisha muda sio mrefu kuanzia leo. na litakuwa la Maafa I swear! siwezi kuchapwa vile kama punda mimi!
Je! ikifika wakati wa chaguzi ndo nchi inakuwa hivi?
Hivi CCM wanadhani watatuwala milele?
Ifikie hatua sasa kuonewa na kunyanyaswa ifike tamati. tuchukueni hatua ! hii kauli ya CDM tunasema kuwa wao wana fedha sisi tuna Mungu halafu tunaacha tunyanyasika hivi huu ni Ujinga. Mungu ndio tunaye lakini Hata mungu hataki vijana wachovu. NA DECLARE WAR. ama zao ama zangu. niungeni mkono bado nipo ARUMERU mtasikia tukio la kusikitisha muda sio mrefu kuanzia leo. na litakuwa la Maafa I swear! siwezi kuchapwa vile kama punda mimi!