Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,624
CCM yatuma Mashehe Ubwabwa kutisha wananchi Mara
unawapiga spana kote kote, chandimu uchaguzi hamshindi labda njaaa!
CCM yatuma Mashehe Ubwabwa kutisha wananchi Mara
Jikite kwenye Hojaunawapiga spana kote kote, chandimu uchaguzi hamshindi labda njaaa!
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaHaya sawa.
Uliniona ninammiminia risasi?
CCM yatuma Mashehe Ubwabwa kutisha wananchi Mara
Kwa kelele zilizopo sasa inaelekea hawafanyi kampeni tena bali wanapanga kuiba uchaguzi!Ni Rais anafanya mkutano au mgombea Urais? Disgusting!!
Uliniona ninang'oa hizo camera?Si mling’oa camera!
Alipigwa?Atapigwa mawe tu.
Alipigwa?
Uliniona ninang'oa hizo camera?
Mama Maria Nyerere aliita kuongeza vichwa. Kila kitu ni kuigiza tu. Kiongozi wa kuigiza, Tume ya kuigiza, kuapisha mawakala nako ni kuigiza, uchaguzi nao wa kuigiza. Kutangaza mshindi nako ni kuigiza tu! Tabu kweli kweli.
Mpaka barua.. inaonyesha ni lazima. Kwann wasiache watu waende kwa hiari yao?Hiyo sio ya kukosa.
JPM ndani ya Chuga,
Usisimuliwe nenda mwenyewe ukajionee historia ikiandikwa.
😂😂Hii kauli ya "bila kukosa" huwa inatumika hata kwenye matangazo ya matamasha ya muziki na haijawahi kuwa na tafsiri ya lazima kwenda,sasa sijajua kwenye hili tangazo hiyo kauli ina uzito kiasi gani kwa maana kama ikitokea mtu hakwenda?