William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Watoto wa vigogo huko nasikia waliajiriwa na huyu mkuu Liumba, jamaa nasikia he is a joke, sasa kaa kuna uozo kwenye kuajiriwa kwao kunaanzia na huyu Liumba!
Watoto wa vigogo huko nasikia waliajiriwa na huyu mkuu Liumba, jamaa nasikia he is a joke, sasa kaa kuna uozo kwenye kuajiriwa kwao kunaanzia na huyu Liumba!
Quote: Field Marshall ES
Watoto wa vigogo huko nasikia waliajiriwa na huyu mkuu Liumba, jamaa nasikia he is a joke, sasa kaa kuna uozo kwenye kuajiriwa kwao kunaanzia na huyu Liumba!
Hii mbona si habari njema.. sasa watoto wenyewe ambao ni she watakuwa wamesalimika? ( japo siku hizi nasikia hakuna cha she wala he wote wote asusa!! mwe!)
Huyu jamaa (Liumba) atakua jela nadhani kabla ya kwisha kwa Feb, 08
Huyu jamaa (Liumba) atakua jela nadhani kabla ya kwisha kwa Feb, 08
Huyu jamaa (Liumba) atakua jela nadhani kabla ya kwisha kwa Feb, 08
Hivi haya majina yanayoishia na umba yan uhusiano gani na ngono? maana miaka ya 1980's tulikuwa mitaa ya mnazi mmoja pale tulikuwa na fundi cherahani mmoja matata Athumani MAUMBA yeye specialization yake ilikuwa ni watoto wa primary school wa mnazi mmoja alikuwa anawakamua kama hana akili vizuri.
Naona Mzee Liumba BOT anaendeleza pale alipoacha MAUMBA kwa style mbaya zaidi...
Wewe Masatu unakoelekea si kwema, uchizi wangu unanionyesha kuwa utasema Lipumba naye ana haya matatizo!?!?!
Hebu tuanze kazi ya upepelezi wa kuchunguza ushahidi wa kisayansi. Tujiulize maswali haya ili tuweze kuona majibu yake yatatupeleka wapi..
a. Mara baada ya Balali kutajwa Bungeni na Dr. Slaa, serikali iliamua kuonesha mshikamano naye kwa kumualika Dodoma wakati wa kikao hicho na alipoondoka aliondoka kwenye ndege moja na mkubwa mmoja.
- Ni nani alitoa mwaliko wa Balali kuja Dodoma?
- Ni ndege ya nani iliyotumwa kumchukua toka Dar na kumrudisha?
- Je kwenye ndege hiyo alipata msosi wowote ule?
hasa baada ya safari ya RO hapa USA imeanza kutia wasiwasi!
mzee mwenzangu, kumbe wewe ndio mmiliki mwenyewe.. duh..
mzee mwenzangu, kumbe wewe ndio mmiliki mwenyewe.. duh..
Naona Mzee Liumba BOT anaendeleza
Huyu mtu sio mfanyabiashara, ni director tu wa Human Resources kama sikosei, sasa hizi hela za kuwapangia vimada nyumba za gaharama na kuwanunulia mabenzi mekundu anazipata wapi?
Mpaka rais wa Jamhuri amemzungumza kwenye hotuba akimuonya aache hizo tabia, je usalama tunaotishiwa nao hapa kila siku uko wapi?
Huyu mtu sio mfanyabiashara, ni director tu wa Human Resources kama sikosei, sasa hizi hela za kuwapangia vimada nyumba za gaharama na kuwanunulia mabenzi mekundu anazipata wapi?
Mpaka rais wa Jamhuri amemzungumza kwenye hotuba akimuonya aache hizo tabia, je usalama tunaotishiwa nao hapa kila siku uko wapi?