Arsena'ne kapigwa tena

ARV

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
4,954
6,940
Kudadadeki,wenga wa kutimua kiukweli sasa,amewarudisha tena mkiani. Teh tee e he.
 
Kuna timu ya mpira wa miguu na mpira wa kikapu,kwa sasa arsenal ni timu ya mpira wa kikapu! Watajibeba mwaka huu.
 
Wenger mwanaume! Japo 8 lakini hakutetemeka kama Fagie, alichofanya alipeleka malalamishi kwa PEP na ameahidiwa kuwa yule kiongozi wa SHETANI msimu huu lazima ahare uwanjani maana hatopata mda wa kukimbilia toilet kama ilivyokuwa msimu ulopita!!!
 
<div style="text-align: center;"><b><font size="4">I 8-2 be an arsenal fan 4-3 weeks!</font></b></div>
<br />
>
Very creative mkuu I like this. Let me guess what you wrote: I hate to be an arsenal fan for three weeks hahahahaha
 
Back
Top Bottom