Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,295
Timu mbovu ya Arsenal leo imeondolewa rasmi kwenye mbio za ubingwa baada ya kuchapwa na Manchester city mabao 2-1 ugenini .
Huu ni uthibitsho mwingine kwamba ngoma ya watoto haikeshi .
Ni mambo ya aibu sana ! Kuumia kwa mchezaji mmoja tu aitwaye Mustafi timu imekongoroka !
Poleni washabiki wa timu hii.
Huu ni uthibitsho mwingine kwamba ngoma ya watoto haikeshi .
Ni mambo ya aibu sana ! Kuumia kwa mchezaji mmoja tu aitwaye Mustafi timu imekongoroka !
Poleni washabiki wa timu hii.