Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
I agree with youI think the problem is arteta and not the players. It will be by God grace if he sees X-Mass on the touchline at Arsenal
I agree with youI think the problem is arteta and not the players. It will be by God grace if he sees X-Mass on the touchline at Arsenal
Panick buys, yes!The window is still open, let’s wait and see if there will be any incomings
Kuhusu hilo watatokea kina gspain watamtetea kocha na kumsema tajiri kwamba hajatoa hela. Ila ukweli ni kwamba Arteta na Edu ndio tatizo kubwa sana zaidi ya matatizo aliyoyawacha wenga.
£50M for Ben White, lakini tunae William Saliba tumemfukuza kwa ubaguzi tu. What about Lukonga ambae kiukweli hamfikii Guendouzi na Guendouzi tumemfukuza only because ya personal issues na Arteta.
😂😂😂😂😂😂😂We don’t have quality players, you see, a number of players were up for sale but no one was interested. The board didn’t take tangible initiative to make sure they buy quality players on time. How could a deal for a player take 3 weeks? It should be either done or cancelled within that time spell. I blame the players, coaching staff , edu and those stupid KSE for the defeat today.
Panick buys, yes!
Unadhani kuna mchezaji au wakala wa mchezaji mkubwa atataka kuja arsenal baada ya mlichomfanyia Ozil????
Let's wait and see
Then you are blaming everybody my friend. Next time you will be blaming the fans too
Counselling ya nini kwa Guendouzi?? Kwa sababu ya kumkaba Maupay?? He was being a MAN and you punished him for that???? Ona leo mwanamme kamshika Leno mikono huku goli la pili linafungwa, that's it bro.Geouduzi issue yake ilikuwa kutafuta mtu wa kumpa counseling, not to sell or loan him. Saliba bahati mbaya sijamfuatilia kujua kiwango chake. Lakini what about Maddison, Aouar, Martinez, Ramsdale kwa nini hawanunuliwi? Leno sio wa kumtegemea sana
Counselling ya nini kwa Guendouzi?? Kwa sababu ya kumkaba Maupay?? He was being a MAN and you punished him for that???? Ona leo mwanamme kamshika Leno mikono huku goli la pili linafungwa, that's it bro.
Madison will be stupid to come to Arsenal. He should target bigger and better teams like Liverpool or City or United.
Ndio hivyo bro. Madrid wanazitaka €40M hizo kudaadeki. Mkimnunua tu Odergaard kwa hela hiyo tumepigwa tena.Hakuna atakaye kuja. Bernardo Silva amekataa kuja, Locateli hataki, Martinez hataki. Who else to buy? Hakuna
Hapana. Guendouzi was our guy!Hata goli la kwanza naona kama mpira ulivuka mstari. Guoenduzi is too emotional
Hapana. Guendouzi was our guy!
Mkuu gud night aiseee
kanzu jipya, chupi la zamani
Arse8 ni Bolton iliyochangamka. Hakuna timu hapa tena ni takataka tu..
Unless muwe na ugomvi ila mchezaji ni wako na anastahili namba mpaka siku anaondoka eneo la timu. Mazungumzo ya usajili yanaweza break downHuwezi kumpa nafasi ya kuchezea mchezaji ambaye unajua unamuuza.