Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leno, Torreira, Partey, Auba, Tierney, Gabriel Magalhaes, Saka, Martinelli, Odergaad, Ozil, hawa ni baadhi ya wachezji ambao angekuwa nao Brenden Rodgers angekuwa anapigania kuchkua EPL tena asubuhi na mapema.

Kubalini Arteta hana uwezo wa kufundisha na ku-manage timu kama arsenal.

Ancelotti na wachezji wale wa Everton tu na ametuzidi kwa mbali mnataka mumtupie lawama tajiri??
Kumbe angekuwa? Huwezi fananisha Arteta na Anccelotti.
 
E0vEpKHWUAonqsC.jpeg

Endelea kutunyoosha baba,mwezetu anaangalia faida kazi tunayo sisi tuliwekeza mioyo tuna ambulia maumivu.
 
Leno, Torreira, Partey, Auba, Tierney, Gabriel Magalhaes, Saka, Martinelli, Odergaad, Ozil, hawa ni baadhi ya wachezji ambao angekuwa nao Brenden Rodgers angekuwa anapigania kuchkua EPL tena asubuhi na mapema.

Kubalini Arteta hana uwezo wa kufundisha na ku-manage timu kama arsenal.

Ancelotti na wachezji wale wa Everton tu na ametuzidi kwa mbali mnataka mumtupie lawama tajiri??

Tajiri analaumiwa kwa kumkumbatia ineptitude coach
 
Poleni sana wana arsenal, itatuchukua miaka mingi kurudi tulipokuwa hasa kwa mentality za namna hii toka kwa uongozi wa juu.
 
Sielewi watu wanaokuja hapa na kuamua ya kwamba hii game kwa Arsenal ni finito. Turudi nyuma kidogo, msimu huu huu huko huko Europa tulianza na matokeo ya kushtua kama haya.

Rennes alitufunga 3:1 tukawa na goli 1 tu la away wakaja Emirates, kilichotokea mnakijua.

Tukakutana na Olympiacos. Msimu uliopita aliyetutoa mashindanoni ni Olympiacos tulimfunga 1:0 kwake akaja kutufunga 2:1 Emirates. Msimu huu ikawa ni kurevenge tukampiga first leg na second leg akatufunga 1:0 tukasonga mbele.

Tukakutana na Slavia. First leg tukatoka 1:1 second leg Slavia akaoga mvua safi ndiyo tumekutana na Villarreal.

Villarreal katufunga 2:1. Ni ukweli tumecheza mpira mbovu, refa alikua miyeyusho, kocha hajafanya management vizuri ila 2:1 siyo matokeo mabaya kama timu itakua serious.

Mimi nasema bado tuna nafasi ya kusonga mbele. Pepe kasema "Tukutane London" Arteta kasema "Bado tumo kwenye hii game" akaulizwa una uhakika mtapindua meza akajibu "WE ARE ARSENAL"

Wiki ijayo siyo mbali.
"we are arsenal",Arteta "tukutane london",pepe ulitoa wapi nguvu ya kuamini meno ya pepe tena akiwa ametumia kiswahili?😂😂😂
 
Nimeshtuka sasa hivi nimeingia sofascore nimekuta 0-0.

Mzee wangu ni mwanajeshi mstaafu aliwahi kuniambia kwamba anaamini ubora wa mwanajeshi ni katika kutumia silaha ya kawaida aliyonayo ili iwe na madhara kuliko mwenye silaha advanced.

Ilikua tunaongelea jinsi Tz tumeachwa nyuma hata na baadhi ya nchi za Afrika kijeshi.

Nikikumbuka alichosema nikiiangalia Arsenal na Villar nafikiri kilichoipitisha Villar ni uwezo wa kocha zaidi kuliko wachezaji ilionao.

Na hata sisi tulivyofika fainali Europa chini ya Emery ilikua ni uwezo wa kocha zaidi kuliko hata kikosi, kama mnakumbuka Europa ST alikua anapangwa hadi Nketiah na matokeo tunapata. Leo Arteta anakuambia last minute changes na kulazimika kumpanga Tierney ambaye hana mazoezi lilikua ni tatizo lililotunyima ushindi ila huyu Tierney ndiye alishirikiana na Gabriel chini ya Emery tukawa tunafunga watu 5, 4 goli chache 3.

Haya sawa, Xhaka kaumia, kwani Saka hajawahi kucheza LB kwanini asipangwe yeye ambaye yuko fit kumzidi Tierney? In fact Saka kua LB kunakupa gape ya kumpenyeza Martinell kule mbele. Means utakua na watu watatu ambao wanaweza kuscore, Auba, Martinell na Pepe.

So Villar wana kocha mzuri kutuzidi.

Ila kwakua mimi siyo mzuri katika kusema makocha waondoke sina upande juu ya uwepo wa Arteta ni juu yake kuthibitisha kama anastahili kua pale ama la.

Arsenal kuikosa michuano ya Ulaya kwa mara ya kwanza ndani ya karne inatakiwa matokeo yake yaakisi uwepo wa kocha na uwepo wa mmiliki rafiki yake Relief Mirzska
 
Nimeshtuka sasa hivi nimeingia sofascore nimekuta 0-0.

Mzee wangu ni mwanajeshi mstaafu aliwahi kuniambia kwamba anaamini ubora wa mwanajeshi ni katika kutumia silaha ya kawaida aliyonayo ili iwe na madhara kuliko mwenye silaha advanced.

Ilikua tunaongelea jinsi Tz tumeachwa nyuma hata na baadhi ya nchi za Afrika kijeshi.

Nikikumbuka alichosema nikiiangalia Arsenal na Sevilla nafikiri kilichoipitisha Sevilla ni uwezo wa kocha zaidi kuliko wachezaji ilionao.

Na hata sisi tulivyofika fainali Europa chini ya Emery ilikua ni uwezo wa kocha zaidi kuliko hata kikosi, kama mnakumbuka Europa ST alikua anapangwa hadi Nketiah na matokeo tunapata. Leo Arteta anakuambia last minute changes na kulazimika kumpanga Tierney ambaye hana mazoezi lilikua ni tatizo lililotunyima ushindi ila huyu Tierney ndiye alishirikiana na Gabriel chini ya Emery tukawa tunafunga watu 5, 4 goli chache 3.

Haya sawa, Xhaka kaumia, kwani Saka hajawahi kucheza LB kwanini asipangwe yeye ambaye yuko fit kumzidi Tierney? In fact Saka kua LB kunakupa gape ya kumpenyeza Martinell kule mbele. Means utakua na watu watatu ambao wanaweza kuscore, Auba, Martinell na Pepe.

So Villar wana kocha mzuri kutuzidi.

Ila kwakua mimi siyo mzuri katika kusema makocha waondoke sina upande juu ya uwepo wa Arteta ni juu yake kuthibitisha kama anastahili kua pale ama la.

Arsenal kuikosa michuano ya Ulaya kwa mara ya kwanza ndani ya karne inatakiwa matokeo yake yaakisi uwepo wa kocha na uwepo wa mmiliki rafiki yake Relief Mirzska
Kocha akionyesha technical inability anaondoka tu, Lampard kaondoka Chelsea wapo funali UCL, top management ikiwa na nguvu ya namna hiyo mtachukua makombe tu. Arteta ni kocha chipukizi, anahitaji mda sana kukaa sawa, kama uongozi utavumilia ni sawa, otherwise tuna mda mrefu kurudi kuwa timu ya makombe.
 
Ina maana France alivyo chukua kombe la dunia ina maana wachezaji wote walikuwa bora including Giroud? Vip Ureno na Euro nayo wachezaji wote walikuwa bora?

Tuzungumzie kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na si wengine kujificha kwenye uwezo wa wachezaji wengine halafu tuseme bora.
Acha kumfananisha Giroud na vitu vya kijinga Giroud anakuwa mfungaji bora Europa ndio sababu ya kuitwa team ya taifa kila gemu anaweka hadi fainali kwanini asicheze ufaransa kutocheza Chelsea ni mahitaji ya kocha kwa wakati huo,mpaka sasa Giroud anayo magoli 6 champions league lakini kayapata group stage ndio mechi alizo cheza ni washambuliaji wangapi walimpita ?jibu ni ni Haland pekeyake ,Narudia Giroud ni mashine
 
Kocha akionyesha technical inability anaondoka tu, Lampard kaondoka Chelsea wapo funali UCL, top management ikiwa na nguvu ya namna hiyo mtachukua makombe tu. Arteta ni kocha chipukizi, anahitaji mda sana kukaa sawa, kama uongozi utavumilia ni sawa, otherwise tuna mda mrefu kurudi kuwa timu ya makombe.
Kumfukuza Arteta siyo suluhisho kwakua we had a best coach in the world na alionekana hafai kwa sababu ya kutokua backed financially.

So hata akija nani itakua same story. Mashabiki walikua tricked kuamini tatizo ni Wenger ila haikua hivyo.
 
138 Reactions
Reply
Back
Top Bottom