Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,915
- 63,915
Tatizo maneno aliyoongea. Nimeona Aaron anasema Arteta kasema Guendouz asirudi ila Guendouz anaperform vizuri huko aliko na nimehisi ni kwa sababu ya maneno aliyoongea.Si mbaya akirudi maana David Luiz anakaribia kustaafu. Akiwa vizuri hatutakuwa na haja ya kutafuta beki, kazi ibaki kwa wingback na CAM
So Arteta anaweza asimrudishe Saliba kutokana na hayo maneno.