Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna vitu vya msingi watu wa Mungu mnatakiwa kufanya kwenye jukwaa hili ,kuendelea kuishabikia team hii ni matumizi mabaya ya Uhuru wa kuchagua.
 
Hata kama kila MTU anachagua akipendacho ndio uchague kushabikia arsenal ,ahaaa hapana !hapana !hapana kwa pamoja tuungane kuwachagulia ndg zetu vitu visivyoumiza.
 
Nawezaje kusema Arteta afukuzwe? Sikusema kipindi cha Emery nitaweza kipindi hichi?

Mimi siyo muumini wa kufukuza makocha haswa kwa kocha ambaye ameonyesha maono yake ni yapi kwa timu anayotaka icoach. We are falling ni kweli tena kwa spid lakini hebu sema mwenyewe kwa kikosi kilichopo ni kocha gani unadhani angekwepa kipigo kutoka kwa Liva (iliyoridhia kuchezesha kipa majeruhi) City, Leicester iliyopaki basi n.k?

Timu yetu imekumbwa na second season syndrome, imekumbwa na ukata na inasumbuliwa na komedi za Kroenke if anything tunatakiwa tuiangalie timu in the long run kuliko kwenye hivi vipigo vya hapa na pale. Kwa mtazamo huo ndiyo nikasema Arsenal ilimtaka Partey lakini ilimhitaji Aouar so bodi ilifuata matakwa badala ya mahitaji.

Once Wenger alisema (natoa tafsiri ya kuendana na mazingira) "Ukizoea kula sangara inakua ngumu kumeza dagaa la kigoma" hiki tunachokipitia ni dagaa la kigoma Arteta anatuaminisha tupo njiani kurudi kwenye kula Sangara so ni ama tumuamini au tumchenjie.

Mimi nina imani naye.
 
Nawezaje kusema Arteta afukuzwe? Sikusema kipindi cha Emery nitaweza kipindi hichi?

Mimi siyo muumini wa kufukuza makocha haswa kwa kocha ambaye ameonyesha maono yake ni yapi kwa timu anayotaka icoach. We are falling ni kweli tena kwa spid lakini hebu sema mwenyewe kwa kikosi kilichopo ni kocha gani unadhani angekwepa kipigo kutoka kwa Liva (iliyoridhia kuchezesha kipa majeruhi) City, Leicester iliyopaki basi n.k?

Timu yetu imekumbwa na second season syndrome, imekumbwa na ukata na inasumbuliwa na komedi za Kroenke if anything tunatakiwa tuiangalie timu in the long run kuliko kwenye hivi vipigo vya hapa na pale. Kwa mtazamo huo ndiyo nikasema Arsenal ilimtaka Partey lakini ilimhitaji Aouar so bodi ilifuata matakwa badala ya mahitaji.

Once Wenger alisema (natoa tafsiri ya kuendana na mazingira) "Ukizoea kula sangara inakua ngumu kumeza dagaa la kigoma" hiki tunachokipitia ni dagaa la kigoma Arteta anatuaminisha tupo njiani kurudi kwenye kula Sangara so ni ama tumuamini au tumchenjie.

Mimi nina imani naye.
Sawa sawa
 
Nawezaje kusema Arteta afukuzwe? Sikusema kipindi cha Emery nitaweza kipindi hichi?

Mimi siyo muumini wa kufukuza makocha haswa kwa kocha ambaye ameonyesha maono yake ni yapi kwa timu anayotaka icoach. We are falling ni kweli tena kwa spid lakini hebu sema mwenyewe kwa kikosi kilichopo ni kocha gani unadhani angekwepa kipigo kutoka kwa Liva (iliyoridhia kuchezesha kipa majeruhi) City, Leicester iliyopaki basi n.k?

Timu yetu imekumbwa na second season syndrome, imekumbwa na ukata na inasumbuliwa na komedi za Kroenke if anything tunatakiwa tuiangalie timu in the long run kuliko kwenye hivi vipigo vya hapa na pale. Kwa mtazamo huo ndiyo nikasema Arsenal ilimtaka Partey lakini ilimhitaji Aouar so bodi ilifuata matakwa badala ya mahitaji.

Once Wenger alisema (natoa tafsiri ya kuendana na mazingira) "Ukizoea kula sangara inakua ngumu kumeza dagaa la kigoma" hiki tunachokipitia ni dagaa la kigoma Arteta anatuaminisha tupo njiani kurudi kwenye kula Sangara so ni ama tumuamini au tumchenjie.

Mimi nina imani naye.
Sasa unazungumziaje suala la kutompa muda Emery?? Muda huo huo ambao Leo tuna-advocate apewe arteta???
 
Lampard vs Arteta:

Table: 3rd vs 14th
Goals: 22 vs 10
Clean sheets: 5 vs 3
Goal difference: +12 vs -2
Last two summer windows spending of clubs: £222m vs £221m

The gap is widening.
Arteta ni kipimo cha kocha mzuri
 
Lampard vs Arteta:

Table: 3rd vs 14th
Goals: 22 vs 10
Clean sheets: 5 vs 3
Goal difference: +12 vs -2
Last two summer windows spending of clubs: £222m vs £221m

The gap is widening.
Humu kuna watu wanapokea taarifa na wanazileta hata hawapimi.

Ama la basi ni wafata mkumbo.

Chelsea ilifungiwa kusajili katika mojawapo ya hizo last two summers.

Baada ya kufunguliwa kusajili Chelsea inachuana na City katika kumwaga pesa za usajili.

So hii taarifa kwa makusudi imebidi iseme 'last two summers...' ili kuhalalisha hoja yao. Na Arsenal imetumia hicho kiasi kusajili wachezaji zaidi ya 8 (wengine hawachezi) Chelsea imetumia hicho kiasi kwa wachezaji watano.

Na hao watano ni wamesajiliwa dirisha lililopita. Kama na Arsenal ingehesebaiwa kwa dirisha lililopita ingeonekana imetumia pesa kidogo mno so ili kuifikia hiyo namba imebidi wafosi iwe 'last two summers...'ingawa chelsea alikua kwenye banio.
 
Nawezaje kusema Arteta afukuzwe? Sikusema kipindi cha Emery nitaweza kipindi hichi?

Mimi siyo muumini wa kufukuza makocha haswa kwa kocha ambaye ameonyesha maono yake ni yapi kwa timu anayotaka icoach. We are falling ni kweli tena kwa spid lakini hebu sema mwenyewe kwa kikosi kilichopo ni kocha gani unadhani angekwepa kipigo kutoka kwa Liva (iliyoridhia kuchezesha kipa majeruhi) City, Leicester iliyopaki basi n.k?

Timu yetu imekumbwa na second season syndrome, imekumbwa na ukata na inasumbuliwa na komedi za Kroenke if anything tunatakiwa tuiangalie timu in the long run kuliko kwenye hivi vipigo vya hapa na pale. Kwa mtazamo huo ndiyo nikasema Arsenal ilimtaka Partey lakini ilimhitaji Aouar so bodi ilifuata matakwa badala ya mahitaji.

Once Wenger alisema (natoa tafsiri ya kuendana na mazingira) "Ukizoea kula sangara inakua ngumu kumeza dagaa la kigoma" hiki tunachokipitia ni dagaa la kigoma Arteta anatuaminisha tupo njiani kurudi kwenye kula Sangara so ni ama tumuamini au tumchenjie.

Mimi nina imani naye.
Imani naye?kocha unafungwa mechi 3 mfululizo tena kwako ?Emirates?naapa hakuna kocha bora mwenye tactics atafungwa mfululizo namna hiyo mfano kocha wa Arsenal angekuwa Mourinho hili suala lisingetokea kamwe ,kufungwa kupo ndo mpira but 3 in a row?Emirates?Arteta anatakiwa aachie timu ,makocha kibao wamejaa dunia hii na wana mbinu kali kweli kweli

Timu kubwa kama Arsenal ikicheza ni lazima asilimia 70 uweke kuwa atashinda ,zinazobakia kuna sare au kufungwa,but kwa sasa kila shabiki wa the Gunners mechi ikicheza anajua arsenal haitashinda mfano next game matokeo yanafahamika Arsenal ushindi itakuwa ni sare sasa tuna kocha hapo?
 
Back
Top Bottom