Yuzo mawe
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 494
- 550
May be litakua ni swala la 'technical' tusimlaumu Sana.hata mimi namshangaa huyu mzee
May be litakua ni swala la 'technical' tusimlaumu Sana.hata mimi namshangaa huyu mzee
Kama kwako mpira ni uanaharakati mute hadi Ozil aondoke. Wengine mpira kwetu ni burudani, sio siasa wala imani za dini zitatuchanganya.Ndugu zangu, hapa napambana na mashetani ya nafsi. Najishauri nisiangalie game ya Arsenal hadi mkataba wa Ozil utakapoisha. Mpira ni mzuri ila ni burudani tu. Haki na utu ni muhimu zaidi. Changamoto hii kwangu.
Ila Ozil ni jeuri kweli kweli na ndo inamcost katika life yake ya sokaKama kwako mpira ni uanaharakati mute hadi Ozil aondoke. Wengine mpira kwetu ni burudani, sio siasa wala imani za dini zitatuchanganya.
Hakuna .Muda wa majaribio kakaKwenye hii game nahisi arteta angempa nafasi bwana mdogo runnarson nae aonyeshe uwezo wake,
Anyway,all the best gooners.
Sikweli bhana , sema labda unebeti unataka magoliyani hii arsenal sijui imekuwaje hadi game kama hii inawaza kudefense tuu
goli limetokana na arsenal kukaa nyuma sana.Sikweli bhana , sema labda unebeti unataka magoli
daaaaah hii timu bana.Uliyeachia kubana pumbu unazingua.
Kuna member analalamika timu inakaa nyuma.
Sasa mbele itaendaje? Stats zilizoletwa za first half ni stats za mtu anayekaba siye anayeshambulia au kutengeneza nafasi.
I wish I was wrong
Sikweli, tuache kudanganya mpira tunaangalia ,goli limetokana na arsenal kukaa nyuma sana.
sijabeti