Mkuu [SIZE=18px]Richard[/SIZE] wewe ndio mwandamizi mkuu sisi wengine tunafuata upepo tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mtibwa v Simba ndo inafuata
Namuangalia sana Elneny. Kabadilika anacheza vizuri kati. Arteta kocha.Ukiona watu kama Alexandra Lacazette anarudi nyuma kusaidia kukaba ufahamu Arsenal ya Arteta "they mean business".
Namuangalia sana Elneny. Kabadilika anacheza vizuri kati. Arteta kocha.
Mechi zote zina point 3 ukishinda. Kipimo ni timu gani?Fulham si kipimo sahihi cha ubora wa team yenu.
Mnaanzaga hivi hivi na kuona ubingwa huu hapa.
Huyu Hector refa amemuonea huruma ana yellow na amefanya rafu nyengine kwa Auba na Xhaka, red card ingemuhusu.Yaani hadi Granit Xhaka anaonekana anafurahia kuucheza mpira pale katikati.
Hector beki wa Fulham anamuumiza Xhaka kwa kumkanya'ga.
But Xhaka is ok, lakini anatoka game laendelea.
Dakika yaenda ni ya 75
Nikolas Pepe anaingia.
Wapi tumesema hivyo? Unaanza kuwanga mapema hivi? Jua bado halijazama, khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeFulham si kipimo sahihi cha ubora wa team yenu.
Mnaanzaga hivi hivi na kuona ubingwa huu hapa.😂😂