Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,181
- 2,080
Ww kiazi umekuwa mpija ramli ..Tulia Nyumbu wewee.. Ngoja kesho Cheltako akutie kuni ukakune nazi mbele huko.
Mbafu kabisa!!
Ww kiazi umekuwa mpija ramli ..Tulia Nyumbu wewee.. Ngoja kesho Cheltako akutie kuni ukakune nazi mbele huko.
Mbafu kabisa!!
Pointless ..bure kabisa ... takatakaHili jambo kila siku nalisema, Pepe amefika Arsenal msimu WA kwanza amepitia kwa mako ha wa3 tofauti na kila kocha anampa mbinu zake,
Unai
Freddie
Arteta
Hapohapo mumbuka amekuja katik ligi ngeni anahitaji muda kuizoea ligi na mazingira, lakini pia presha kutoka kwa mashabiki wenye mategemeo makubwa kutoka kwake, kutokana na timu kusuasua, kingine thamani ya pesa aliyonunuliwa vinamharibu kisaikolojia, huyu tumpe muda wa kutosha jamani, kwa mimi Hata misimu miwili nampa
Ebwana nilikua online kucheki games ninazojua tulicheza 3 4 1 2 lakini hazinipi picha.Ndugu yangu ufanye upumzike sasa.
Hebu niambie ni game gani auba au pepe walicheza namba 10??
Huna team kalale wwEbwana nilikua online kucheki games ninazojua tulicheza 3 4 1 2 lakini hazinipi picha.
Game ya Arsenal na Liva tuliyoshinda 2 kwa 1 Pepe alikua 10
Nafikiri yupo on the right track. Ukilinganisha takwimu zake na za Ronaldo wakati kahamia Man u Pepe ana takwimu nzuri.Hivi Pepe tumfanyaje wazee wangu, mbona kipaji kikubwa sana lakini hana njaa ya mafanikio km Waafrika wengine kina Auba, Mane,Sarr.
Mashabiki wa hii team ni viaziNafikiri yupo on the right track. Ukilinganisha takwimu zake na za Ronaldo wakati kahamia Man u Pepe ana takwimu nzuri.
Afanye mpango awe na uwezo wa kucut in na kuscore
Sio lazima tujue kuwa umekunywa WANZUKI kwa mara ya kwanza.We ndundule ndio umeaandika nn kama siyo takataka
Arteta anaongea lugha 7 kama Arsene WengerKatika mechi na Liva Arteta aliongea na Bellerin kispanish, kisha akaongea na Ceballos kiingereza halafu Lacazette alivyoinasa ile pasi ya Virgil akasema kwa kifaransa 'Ale ale laca'
Nimekumbuka hii baada ya kumsikia akishout kwa kifaransa mechii hii pia.
Anajua kuconnect na wachezaji.
Wewe unaumwa umegomea kunywa dawa si bure.Kuwa na akili tiamamu ww countinho partey jovic hawawezi chezea team hovyo na takataka kama asenane team kwenda europa tu inashindwa ww shabiki na team yenu nyote ni viazi
Mkuu hata mimi nilihisi uchawi upo siku ulipomfunga Barcelona 4-0 kwenye ile comeback yenu ya kihistoria ila football is all about tactics hakuna uchawi jombaaa.Leo nimeamini, uchawi upo.
Mkuu hata mimi nilihisi uchawi upo siku ulipomfunga Barcelona 4-0 kwenye ile comeback yenu ya kihistoria ila football is all about tactics hakuna uchawi jombaaa.
Mchukue hili kombe ili tukapige kelele kwenye nyuzi za chelsix na Nyumbu mkuuHii ndio ilikuwa final
Hapo ndio utaona umuhimu wa kocha na benchi lake la Ufundi jinsi ambavyo wanaisoma timu pinzani na kuja na mbinu za ushindi, mbinu zikifaulu historia inaandikwa.[SUB]u[/SUB]
Ile mechi mpaka leo nikifanya review yake nashindwa kuielewa.
Ulitumwa uiwekee Man city😂😂😂 kubet bwanaKubabake walai
Umepotea sana siku hiziMchukue hili kombe ili tukapige kelele kwenye nyuzi za chelsix na Nyumbu mkuu
mkuu majukumu yananikimbiza sana semister imekuwa fupi sana hiiUmepotea sana siku hizi
Wazee mimi nashabikia mpira as a whole, sibinywi na kua shabiki wa Arsenal.
Kuna vitu vingi hua watu wanavibypass simply kwakua utimu umewashika. Kuna member mmoja alikua anaponda formation ya 3 4 1 2 na nikawa namuambia kwanini tumeresort kwenye hiyo.
Leo Arteta anatumia hiyo hiyo na anaipigia debe kwa nguvu zote. Mara zote mimi hujaribu kuona zaidi ya ushabiki.
Kama ni mbinu ile mechi na Liva bila Virgil kupiga back pass tuliku na plan nyingine? Uliweza kuhisi kama kuna plan pale?
Anyway kila mtu yuko entitled na mawazo yake
makosa yao hayo, usiite bahati yetu. Auba au Pepe angepaisha ungesema bahati yao City au uzembe wa wachezaji wetu?!?Ila we jamaa bwana.
City katushambulia.
Kapiga shots.
Mustafi katoa boko.
Bellerini katoa boko.
VAR imetuachia (nimeshangaa)
Martinez kaokoa shot pekee on target ya Mahrez ambayo ilionyesha ingekua goli.
Sterling, Silva, Laporte, Foden, Debruyne, Mendy, wote hawa mashuti yao ama yalipaa au yalimgonga mtu yakatoka nje.
Unataka bahati gani zaidi ya hii?
Wakati hayo yanatokea ulikua unafumba macho?