Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Apewe muda. Ndio kwanza msimu wa kwanza huu. Usisahau pepe ana price tag ya 72M. Tusichukulie poa hiyo ni burden kubwa sana in today's footballHivi Pepe tumfanyaje wazee wangu, mbona kipaji kikubwa sana lakini hana njaa ya mafanikio km Waafrika wengine kina Auba, Mane,Sarr.