Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Ozil ni mtu wa kuwa first eleven lakin unai anamvunjia sana heshima,huyu mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatimuliwa , mpaka sasa ana odd ya 1.5 ,Foul ya AUBA ni hatari aisee nimefurahia japo mechi sio kivile, Huyu kocha anayeunga unga ni wakutimuliwa mapema,watakuja kumfukuza wakiona Europa line inatuita.Haaahahahaa!
Ile penati Auba alimuachia Pepe ili apate comfidence, ilishawah kutokea kipindi flani Lacazette alikuwa hafungi sasa kuna game Auba alitupia mbili na tukapata penati ilitakiwa aipige Auba ili awe na hat trick ila akamuachia Lacazete aipige."It's a very big decision from Auba to let Pepe shoot, to give him confidence and the possibility to score.
"I was happy when I saw that decision from him. He's hungry every day to score and achieve individual and collective objectives."
@Aubameyang7 x #PepeIsHere ️ View attachment 1213817
Ulikuwa unamkingia kifua sana Sokratis siku moja wakati tunabishana humuKolasinac, AMN, Sokratis, and Luiz simply not good enough. All have to be replaced. Thankfully, we have Tierney, Bellerin, Saliba and another CB coming in.
Sokratis na luiz hiyo combo ndio hawaendani,Ulikuwa unamkingia kifua sana Sokratis siku moja wakati tunabishana humu
Luiz again! ad nahc kichefuchefuNamuitaga. Mr.Iron man si mwingine ni Calum Chambers huyu mwamba namuelewa sana alikuwaga boya sana kipindi cha nyuma ila kadri siku zinavyozidi kusogea basi anazid kuwa mwamba nakumbuka akiwa fulham alipandishwa kutoka central Back kuwa Difensive mido na alichafua vilivyo na kuwa best player wa msimu pale fulham akarejea na Tuzo yake...
Binafsi naona ni wakati wake wa kukichafua pale Emirates dhidi ya frankfurt aliitendea haki namba ya Bellerin kiasi chake kuliko Niles Ni wakati wa Unai kuweka Beki wa 3 watakaporejea Belle na Dogo Tierney halafu kati aweke Luiz kama mtu wa ku clear mipira ya vichwa maana ana iwin sana.
Aweke Chambers chuma kushoto kwake na kulia aweke Sokratis Then full back wazee wa kumwaga maji belle na tierny wanapanda na kushuka .
ila Unai Out leave our TeamView attachment 1213837
Mimi nasema kua nitaendelea kumpinga mpaka suala la stamina na control litatuliwe.Yaani ambao hawaoni Guendouzi anavyoiendesha gunners sasa hivi wana matatizo sana ukiwemo jamaa yangu Castr