Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"It's a very big decision from Auba to let Pepe shoot, to give him confidence and the possibility to score.

"I was happy when I saw that decision from him. He's hungry every day to score and achieve individual and collective objectives."

@Aubameyang7 x #PepeIsHere
IMG_20190922_230248.jpeg
 
Foul ya AUBA ni hatari aisee nimefurahia japo mechi sio kivile, Huyu kocha anayeunga unga ni wakutimuliwa mapema,watakuja kumfukuza wakiona Europa line inatuita.Haaahahahaa!
 
C̶e̶n̶t̶r̶e̶ ̶b̶a̶c̶k̶
D̶e̶f̶e̶n̶s̶i̶v̶e̶ ̶m̶i̶d̶f̶i̶e̶l̶d̶e̶r̶
R̶i̶g̶h̶t̶ ̶b̶a̶c̶k̶
Penalty-box poacher

Well played, @CalumChambers95
 
Wadau mm nataka unai afukuzwe ila swala la kufungwa linauma bora tuwe tunashinda hivi hivi bila hata game plan ili mrad tu

Ujue Chelsea wanafungwa ila unaona kabisa wana kitu sisi tunashinda ila unaona kabisa hamna game plan n bahat nasibu tu

Next mech OT

Kiungo kikipangwa hivi

Cebalos - LT11-Mateo

Basi tunabeba point 3 mapema kabisa

Ila kwakuwa hatuna kocha sitashangaa nikishuhudia vituko
 
Nimewahi kusema Unai anaonekana ni mwenye kibri na jeuri.

Arsenal haina wachezaji wabaya katu! Labda mifumo na upangaji wa kikosi.

Xhaka ni Central Midfielder asilia na hilo linathibitika akiwa Suisse na hata nyakati za Borussia Mönchengladbach. Na wakati mwingine amekuwa akicheza hata 10 Role kwa Suisse. Emery anakosa sana kumtumia kama Defensive Midfielder.

Kolašinac ni Winger Back asilia toka Schalke 04 na hata Bosnia & Herzegovina.

Maitland-Niles ni Central Midfielder mwenye uwezo wa kuchezwa kama Winger Back.

Mustafi yes ni Center Back lakini muda akiwa Velencia alitumia muda mwingi kama Right Back na Defensive Midfielder hata akiwa Deutschland alitumika kama Right Back na Joachim Löw.

Hata Calum Chambers ni mzuri na mchezaji mwenye uwezo wa kucheza CB, RB na CDM.

All in all tusubiri majeruhi warudi tuzidi kuona upuuzi wake. Lakini wachezaji nawaamini sana.
 
"It's a very big decision from Auba to let Pepe shoot, to give him confidence and the possibility to score.

"I was happy when I saw that decision from him. He's hungry every day to score and achieve individual and collective objectives."

@Aubameyang7 x #PepeIsHere View attachment 1213817
Ile penati Auba alimuachia Pepe ili apate comfidence, ilishawah kutokea kipindi flani Lacazette alikuwa hafungi sasa kuna game Auba alitupia mbili na tukapata penati ilitakiwa aipige Auba ili awe na hat trick ila akamuachia Lacazete aipige.
 
BUKAYO SAKA KINDA ALIYEWACHONGANISHA' UNAI EMERY NA LJUMBERG...

Anachukuliwa kama kinda mwenye kipaji cha hali ya juu sana ndani ya Arsenal.

Kipaji na uwezo wake uliwafanya Emery na Ljumberg watofautiane.

Unaweza kusena Bakayo Saka ndiye success story ya Fredrick Ljumberg tangu arejee Arsenal kama kocha.

Alimkuta akiwa na miaka 15 na akiwa anachezeshwa kama beki 3, akaamua kumbadilisha kuwa winga. Siku zote Ljumberg amesisitiza kwamba Saka ni gwiji wa soka mtarajiwa.

Msimu jana Ljumberg alimshauri Emery amtumie kwenye Europa. Alipoanza kumtumia Emery alitaka apandishwe kikosi cha kwanza, kitu ambacho Ljumberg hakukubaliana nacho akitaka Saka aachwe amalize msimu mwingine angalau mmoja U23.

Unaweza kusema pia Saka amechangia kiasi kikubwa Ljumberg kupandishwa kuwa kocha msaidizi kikosi cha kwanza. Kwa sababu kwanza jinsi alivyoweza kumtengeneza mpaka akafikia hapo. Pili Ljumberg alipandishwa ili awe daraja kati ya vijana wanaotoka academy kwenda kikosi cha kwanza.

Saka amesababisha maamuzi makubwa kwenye timu. Alichangia kiasi kikubwa kuuzwa kwa Iwobi.

Baada ya miaka mingi ya kumvumila Iwobi afikie matarajio ya timu kwake ilifika wakati wakaona kama anawabania Saka, Nelson na Martinelli hasa hasa Saka.

Ni vigumu kutabiri kwa uhakika future ya wachezaji wadogo.

Ndiyo maana academy yenye wachezaji 200 wanaofanikiwa kupenya kikosi cha kwanza ni mmoja wawili. Lakini matarajio kwa Saka kwenye viunga vya Emirates ni makubwa mno.

Katika Hale end acardemy Napendezwa na EDDIE NKETIAH , SAKA , BOLOGUN ,

Aaron
FB_IMG_1569186598577.jpeg
 
Namuitaga. Mr.Iron man si mwingine ni Calum Chambers huyu mwamba namuelewa sana alikuwaga boya sana kipindi cha nyuma ila kadri siku zinavyozidi kusogea basi anazid kuwa mwamba nakumbuka akiwa fulham alipandishwa kutoka central Back kuwa Difensive mido na alichafua vilivyo na kuwa best player wa msimu pale fulham akarejea na Tuzo yake...

Binafsi naona ni wakati wake wa kukichafua pale Emirates dhidi ya frankfurt aliitendea haki namba ya Bellerin kiasi chake kuliko Niles Ni wakati wa Unai kuweka Beki wa 3 watakaporejea Belle na Dogo Tierney halafu kati aweke Luiz kama mtu wa ku clear mipira ya vichwa maana ana iwin sana.

Aweke Chambers chuma kushoto kwake na kulia aweke Sokratis Then full back wazee wa kumwaga maji belle na tierny wanapanda na kushuka .


ila Unai Out leave our Team
FB_IMG_1569187327052.jpeg
 
Hivi Arsenal wanasubiri hadi emery aboronge kabisa ndio atimuliwe au wanacheza kamari mpaka msimu uishe ndio wamtupie virago?

Alegri hana timu ,

Man u wakifukuza kocha brek ya kwanza kwa Alegri.

FB_IMG_1569187533189.jpeg
 
Namuitaga. Mr.Iron man si mwingine ni Calum Chambers huyu mwamba namuelewa sana alikuwaga boya sana kipindi cha nyuma ila kadri siku zinavyozidi kusogea basi anazid kuwa mwamba nakumbuka akiwa fulham alipandishwa kutoka central Back kuwa Difensive mido na alichafua vilivyo na kuwa best player wa msimu pale fulham akarejea na Tuzo yake...

Binafsi naona ni wakati wake wa kukichafua pale Emirates dhidi ya frankfurt aliitendea haki namba ya Bellerin kiasi chake kuliko Niles Ni wakati wa Unai kuweka Beki wa 3 watakaporejea Belle na Dogo Tierney halafu kati aweke Luiz kama mtu wa ku clear mipira ya vichwa maana ana iwin sana.

Aweke Chambers chuma kushoto kwake na kulia aweke Sokratis Then full back wazee wa kumwaga maji belle na tierny wanapanda na kushuka .


ila Unai Out leave our TeamView attachment 1213837
Luiz again! ad nahc kichefuchefu
 
15 years ago today, Arsenal's fierce rivalry with Manchester United reached boiling point.

The game dubbed 'The Battle of Old Trafford' ended in a 0-0 draw.

In the aftermath, Arsenal were charged £175,000 for failing to control their players.

Fines for players totalled £100,000 with 6 Arsenal players getting fined.

Despite this, Arsenal went on to go unbeaten all season so the draw was significant.
FB_IMG_1569218378885.jpeg
 
Dani Ceballos!
Dani Ceballos!
He drinks Estrella!
He eats paella!
The boys f*cking magic!

Dani Ceballos new song
 
Nikikaa kimya moyo utaniuma sana, nitakufa!

Nimefurahishwa na ushindi wa leo lakini kwa jinsi tulivyo upata sijarizika kabisa.

Magoli yanatokana na makosa ta wachezaji lakini mfumo ndio mzizi wa makosa.

Arsenal ya leo huoni muunganiko wa timu, mpangilio wa wachezaji na approach ya mechi ni vurugu tupo.

Yani Arsenal haieleweki, utafikiri hamna kocha wachezaji wanajipanga wenyewe.

Chini ya Wenger timu kama hizi ilkua ni mara chache sana kutusumbua, tena Emirates lakini siku hizi kila mtu kwetu ni sawa na man city.

Niwe muwazi, Simuungi Unai Emery mkono na sitaki kumuona kama kocha wetu haijalishi atabeba Europa, EPL yani hata abebe vikombe vyote msimu huu bado sita muunga mkono.

Timu imekua ya kuunga unga leo aanze huyu kesho yule, mara uyu aingie kipindi cha pili mara huyu apumzishwe yani kama timu ya ndondo cup.

Yani soka la Arsenal lenye ladha limepotea, saivi ni bora liende tu, kikubwa ushindi afu bora mpira ungekua mbovu lakini ushindi wa uhakika, yani mpira mbovu ushindi wa kuotea.

Haya ni mawazo yangu, Simtaki Unai Arsenal aisee na natamani kuona anaondoka mapema ata kesho kwa sababu msimu bado mbichi tunaweza kupata mtu mwingine akafanya ya kueleweka.

Siku zoote naitakia Arsenal ushindi lakini kupitia Unai hatutafika mbali, hata apewe Miaka 20 atakacho fanikiwa ni Europa na Top 4 HAKUNA ZAIDI YA HICHO.

Unai hata akipewa messi, Ronaldo, Van Dijk mambo yatakua ni haya haya, mi nimemchoka, nilimtetea sana na kumkingia kifua lakini kanishika pabaya, ATOKE!.
 
138 Reactions
Reply
Back
Top Bottom