Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger hakukosea kumuacha ,kama unakumbuka kuna msimu Wenger alimpa muda sana wa kucheza , dogo akafanya vzr

Mkataba wake ukawa unaelekea kuisha ,Wenger akamwambia dogo asaini , akawa anadengua , Wenger akamwambia yupo huru kuondoka , ndipo Wenger akampandisha Iwobi kutoka acardemy. ,japo alikuwa anapiga sana LWView attachment 1203690
Daah so sad tumepoteza jembe, naskia kuna tetesi za arsenal kumtaka depay january n za kweli? na vp joel campel Uko leon halipo n kwa mkopo au tumemuuza?
 
Daah so sad tumepoteza jembe, naskia kuna tetesi za arsenal kumtaka depay january n za kweli? na vp joel campel Uko leon halipo n kwa mkopo au tumemuuza?
Campel alishauzwa kitambo sana ,

January Arsenal inarud sokon bado anahitajika LW , majina yanayotajwa ni Everton Soares ,zaha

Tusubiri tuone , kuhusu Depay sijasikia
 
Huyo aliyebebwa kuna watu walimuona hana kitu sasa hivi kawasha moto huko hatari.
IMG_20190911_064340_293.jpeg
 
#Raul #Sanllehi really came in, got rid of deadwood, freed up like £1m wages per week, gave us unreal signings for peanuts, gave us our record signing and now we have the youngest squad in the Premier League of all teams.

It’ll just get better, trust the don.

Raul FC.
 
Mo Salah aliondoka kama kinda ilimbidi akatafute nafasi timu ndogo. Huyo kaondoka kikosi cha wakubwa akiwa na namba kabisa.
Ona ulivyo muongo, Sergi kacheza msimu mmoja kwa muda mrefu , na hata kuondoka arsenal hakwenda baryen moja kwa moja , Ndio maana nimekwambia kama hujui uliza , huyo dogo hajawahi kuwa na namba ya kudumu, na uhakika hata kujua alichezea Arsenal umejulia humu humu Jf
 
Ona ulivyo muongo, Sergi kacheza msimu mmoja kwa muda mrefu , na hata kuondoka arsenal hakwenda baryen moja kwa moja , Ndio maana nimekwambia kama hujui uliza , huyo dogo hajawahi kuwa na namba ya kudumu, na uhakika hata kujua alichezea Arsenal umejulia humu humu Jf
Hajui anaongelea nini hata.
 
Ona ulivyo muongo, Sergi kacheza msimu mmoja kwa muda mrefu , na hata kuondoka arsenal hakwenda baryen moja kwa moja , Ndio maana nimekwambia kama hujui uliza , huyo dogo hajawahi kuwa na namba ya kudumu, na uhakika hata kujua alichezea Arsenal umejulia humu humu Jf
Kijana nakwambia nafuatilia toka hujazaliwa. Kwanza hakuna sehemu niliyosema alienda Bayern moja kwa moja, alikua mchezaji kama sasa ivi walivyo kina Willock na Nelson Wenger anaweza kumuanzisha hata game kubwa. Sasa huyo si kaaminika na kocha. Nafuatilua toka Arsenal yenu ya viwete mpaka leo
 
Kijana nakwambia nafuatilia toka hujazaliwa. Kwanza hakuna sehemu niliyosema alienda Bayern moja kwa moja, alikua mchezaji kama sasa ivi walivyo kina Willock na Nelson Wenger anaweza kumuanzisha hata game kubwa. Sasa huyo si kaaminika na kocha. Nafuatilua toka Arsenal yenu ya viwete mpaka leo
Uzuri kwa maelezo yako , na uhakika huyu dogo umemjulia humu humu jf kwenye mijadala , kama kweli unafatilia soka usingekuwa unaaminisha watu Chelsea itamaliza ndan ya top 6 this season....hahahaha
 
I think the main reason Iwobi/Mkhi were sold is because, ultimately Emery seems to be leaning to 4-3-3 where he prefers playing 3 forwards as opposed to wide midfielders. We have some interesting midfield profiles that can fit into different variations of 4-3-3.
 
Similar to Liverpool, but we don't exactly have a Firmino as Mourinho said. We need more of a link. Klopp's midfield 3 are all proper workhorses who will cover for their world class full backs. We might have to sacrifice some of that by playing a pure playmaker like Ceballos.
 
Personally, I think Joe Willock is a very interesting player. Calm on ball, has those box to box characteristics, but also good defensively. He links up well with forwards and is pretty decent in the final third. I'm most excited about his development.
 
Team prediction for Watford:


Leno, AMN, Chambers, Luiz, Kolasinac, Torreira, Willock, Ceballos, Nelson, Pepe, Aubameyang/
 
138 Reactions
Reply
Back
Top Bottom