mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 667
- 1,106
Daah so sad tumepoteza jembe, naskia kuna tetesi za arsenal kumtaka depay january n za kweli? na vp joel campel Uko leon halipo n kwa mkopo au tumemuuza?Wenger hakukosea kumuacha ,kama unakumbuka kuna msimu Wenger alimpa muda sana wa kucheza , dogo akafanya vzr
Mkataba wake ukawa unaelekea kuisha ,Wenger akamwambia dogo asaini , akawa anadengua , Wenger akamwambia yupo huru kuondoka , ndipo Wenger akampandisha Iwobi kutoka acardemy. ,japo alikuwa anapiga sana LWView attachment 1203690