Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata Unai akiletewa Huyu bado atamuweka bechi na kumchezesha Mustafi
IMG-20190826-WA0021.jpeg
 
with our Idiot (Unai) still in charge of the team lolote linawezekana
Tukiachana na ushabiki Spurs hana rekodi Nzuri kwa Arsenal na Liverpool.

Last season Arsenal hakuwa vizuri, Lakini Spurs alikuwa vizuri ingawa hakusaini bali aliishia kupigwa 4 na Arsenal.

Spurs katika Top 6 huzisubiri Chelsea, Manure na Man City ndiyo anazikazia kinoma.

Lakini akicheza na Liverpool tu huwa anacheza mpira bovu balaa na Ndiyomana kila msimu tunachukua points 6 au 4.. Inaweza pita miaka 5 au zaidi ndiyo anabahatisha kutufunga kama alivyotuokota mwaka Juzi.

Kwahiyo na kwa Arsenal pia huwa analegeza vyuma.
 
Kiburi cha Unai kimetuponza,

Pepe ni talented player ,

Laca ana hold mipira , unamuweka bench,

Hivi unai hajui kuwa kumuweka laca kungefanya pepe na auba wapate space za kupenyeza mipira zaid ?

Kwenye midfield Unamuweka LT 11 nje kila siku,

Unamuanzisha Mateo & Willock Anfield kweli ? Wakati

Una uwezo wakuweka kiungo solid cha

Xhaka lt11 ceballos

UNAI hawez kutufikisha nchi ya ahadi .

Baada ya kuona lineup tu, sikuweza kuwa na matumain yoyote ,

Na Jana nimethibitisha Unai sio kocha ni msimamiz wa mazoez,
Mkuu punguza jazba hao kina torreira walilambishwa vumbi Na Firmino mech ya 5-0.acha kumlalamikia kocha huyo lagazeti mwenyew kwa Van dijk angetulia tu kama mwenzake auba.jengen kikos halafu mje tena anfield sio kupiga domo wakat hauna timu iliyojengwa vizur
 
Ila inshort niseme tu *Poor team selection* , *kiburi cha unai* , *Ujinga wa unai* *Mahaba Niue ya unai* ndo yameamua game ya Jana .


Liverpool asingeshinda mechi kama wangeanza wote akina Lucas, xhaka,pepe,auba,lacazete,mikh/ozil


Hapo alikuwa hapotezi mechi maana kama pepe Jana aliweza kumpeleka VVD vile unadhan angekuwepo lacazete akatoa back up kingetokea nn ??


*unai ni msimamiz wa mazoezi tu ...ile team.hata mkwasa kwa sasa anaweza akachukua na akafanya vzuri*
Pepe alimpeleka Van dijk??? Ww mech umesimuliwa au???
 
Mkuu punguza jazba hao kina torreira walilambishwa vumbi Na Firmino mech ya 5-0.acha kumlalamikia kocha huyo lagazeti mwenyew kwa Van dijk angetulia tu kama mwenzake auba.jengen kikos halafu mje tena anfield sio kupiga domo wakat hauna timu iliyojengwa vizur
Wewe unajielewa kweli?lini walifunga 5 - 0 ?????acha bange
 
Tatizo ni kocha, hadi hapa tulipofikia kocha analaumiwa kwa kiasi kikubwa. Hiyo first eleven ni nzuri ila ngoja uone huyo Unai akiwaanzisha akina Willock.

Anaonekana kabisa kuwa na mahaba na wachezaji fulani huku wengine pamoja na ubora wao wanachezeshwa kwa kubeep sana.
Hapo ndo shida ilipo yaan anani kera nyau yule
 
Alijifanyaga ki mbelembele kujitangaza kua mrithi wa wenger ata kabla ya waajr wake, as if ana uhakika na kazi yake kumbe hamna kitu n afadhali tungempata ronald koeman, tucheze pira la kiuholanzi, tujue moja
 
Wengi wanasema emery alipanga kile kikosi kwasababu hajiamn ila m naona n anajiamn kupitiliza huwez kwenda pambana na chatu na fimbo kama ujiamn, kwa asiejiamn anaweza enda ata na makombora na vifaru. ile mechi kama angekua ajiamn angetia full mziki wanaume wakanyagane na sio kile alicho kifanya, apunguze kibur asikulize ushaur na aheshimu wapinzan lashvo vrago vtamuhusu very soon, bin-arsenal sahv wameshaishiwa bundle la uvumilivu, wenger kakomba lote kaondoka nalo, shaur zake
 
Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati
Yani apo kwa Luiz arsenal tumepigwa
 
Kikweli imenishangaza kumwacha Laca na kumuingiza yule dogo

Ila naona hata midfield pia mlipwaya,

Poleni, lakini mimi nimefurahi maana huku mtaani ni nyie na sisi ndio tupo wengi kwahiyo mngeshinda hii weekend maisha yangekuwa mgumu sana kwetu
Kumbe munajijua kabisa ..hata ivyo mtaa umepoa kichizi..
 
Mkuu kuondoka Luiz inaonekana kulikuuma sana

Maana kwenye kila sentensi unamtaja Luiz
Unajua kama fan ..halafu Luiz ameondoka gafla tu bila kutarajia na kujiunga na wapinzani wako ..halafu akaboronga sisi kwetu ni faraja kidogo mkuu

Ni kama Sanchez alivyokuja Man united, angefanya vizuri ingekuwa ni maumivu kwa fan wa arsenal, ila sasa kaboronga kwa iyo ni kama faraja flani ivi kwa hawa arsenal fan ..kingine ni kwamba tunaangalia mchezaji ameondokaje kwenye club, kama aliondoka kwa Ku force halafu akazingua uko alipo ..sisi tunaona ni furesh tu kufurahi..

Hivyo uyu Luiz sisi Arsenal tumepigwa mkuu
 
Unajua kama fan ..halafu Luiz ameondoka gafla tu bila kutarajia na kujiunga na wapinzani wako ..halafu akaboronga sisi kwetu ni faraja kidogo mkuu

Ni kama Sanchez alivyokuja Man united, angefanya vizuri ingekuwa ni maumivu kwa fan wa arsenal, ila sasa kaboronga kwa iyo ni kama faraja flani ivi kwa hawa arsenal fan ..kingine ni kwamba tunaangalia mchezaji ameondokaje kwenye club, kama aliondoka kwa Ku force halafu akazingua uko alipo ..sisi tunaona ni furesh tu kufurahi..

Hivyo uyu Luiz sisi Arsenal tumepigwa mkuu
Acha ushabiki maandazi ,

Luiz alifanya vzr tu hasa Aerial dual ,

Kocha kupanga midfield mbovu kuliwapa shida mabeki
 
Mkuu kuondoka Luiz inaonekana kulikuuma sana

Maana kwenye kila sentensi unamtaja Luiz
Kumewauma sana ,

Lakin sisi tunaoijua timu yetu ,tunajua luiz alicheza vzr tu,

Ndio maana dunia nzima arsenal fan lawama anapewa kocha , unaacha watu nje unapanga midfield ya u21 ,

Ina maana beki itazidiwa , sasa utamlaumuje Luiz,?

Luiz alicheza vzr mipira ya juu na kuanzisha mashambulizi ,

Chelsea wanajifariji maana timu YAO hata top 10 hawafik
 
Unai anapanga kikosi cha Sportpesa wakati anacheza EPL tena big match.
Nje anaacha watu wazima wenye uwezo, anaweka watoto ambao hata Cardif hawachezi... jana kocha kavuruga mwenyewe japo Liverpool sio wepesi kiivyo.
Unai mdomo hawa Chelsea kuja kupiga kelele humu wakat wana litimu libovu
 
Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati
Acha kuongea ugolo, huyo tot alichukua point 4 wap kwa arsenal ?

Yaan Chelsea na kikosi kile mmeshapata nguvu ,wakati hata nafas ya 10 hamtafika
 
138 Reactions
Reply
Back
Top Bottom