mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 669
- 1,117
Nilisema pia kuhusu mapungufu ya luiz kama atapangwa game ya liver kuna jomba akan crash hapa, nafkr sasa kajionea kwa macho. Luiz n bek mzur ila hana utulivu, tulikua hatumuhitaj kwenye mechi hii hatuta muhtaj kwenye mechi yetu na mancity na ata spurs kama son atakuwepo, hawa washumbuliaj wenye kasi na kunyambulika wanampa tabu sana na mprefer chambers zaid kwa kipindi hichi mpaka holding atakapo rudi