Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
#Breaking_news Unai Emery aweka historia mpya.
Kocha wa Arsenal Unai Emery ameandika historia mpya apo jana mara tu baada ya
Kuichapa Valencia magoli 4 kwa 2 na kufanikiwa kutinga hatua ya Fainal ktk mashindano ya Europa League.
Kupitia matokeo hayo imempelekea adi sasa kuwa ndio kocha pekee wa kuhistoria.
Kwa kuingia fainal ya Europa League mara nyingi.
Ikiwa ni hii ni fainal yake ya nne kupitia mashindano haya.
2013-14Sevilla
2014-15Sevilla
2015-16Sevilla
2018-19 Fainal Arsenal
Baada ya kuwa na historia nzuri kupitia kombe ili
Je ataweza kufanikiwa tena kulibeba kombe mbele ya mpinzani wake Chelsea.
YOTE KWA YOTE TUKUTANE FAINAL NDANI YA BAKU PANAPO MAJAALIWA 29/5/2019
Kocha wa Arsenal Unai Emery ameandika historia mpya apo jana mara tu baada ya
Kuichapa Valencia magoli 4 kwa 2 na kufanikiwa kutinga hatua ya Fainal ktk mashindano ya Europa League.
Kupitia matokeo hayo imempelekea adi sasa kuwa ndio kocha pekee wa kuhistoria.
Kwa kuingia fainal ya Europa League mara nyingi.
Ikiwa ni hii ni fainal yake ya nne kupitia mashindano haya.
2013-14Sevilla
2014-15Sevilla
2015-16Sevilla
2018-19 Fainal Arsenal
Baada ya kuwa na historia nzuri kupitia kombe ili
Je ataweza kufanikiwa tena kulibeba kombe mbele ya mpinzani wake Chelsea.
YOTE KWA YOTE TUKUTANE FAINAL NDANI YA BAKU PANAPO MAJAALIWA 29/5/2019