joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 14,901
- 31,274
Haya kaka upo wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kaka upo wapi ?
simba+1 still yupo nae EFL final,hata cjui nn kitampata jiranKweli leo umenionyesha ulichoenda kukifanya ETHAD,mimi nakuhesabia ya pili hii ushapoteza,bado tatu moja OT ,Anified na kwa Darajani na Spurs,weekend ijayo FA na Man Utd.
🤣🤣🤣Wale jamaa wa chelshit siwaoni humu au wapo jukwaa la Mapenzi na uhusiano
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Wale jamaa wa chelshit siwaoni humu au wapo jukwaa la Mapenzi na uhusiano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia wewe chabiki mnazi wa arsenal ..sisi man utd mechi kubwa zote tunamalizia OT kasoro moja tu na arsenal si huyo unayemuamini Liverpool unajua record zake akija pale OT huwa anatika mikono mitupu na magoli ya kutosha ..mechi ya kwanza tulifungwa anfield kutokana na mbinu mbovu za mou...sasa subiria iyo jumapili uone then ueudi hapa na excuse.. Man utd ya sasa siyo kama unavyoichukulia hata hao Liverpool wenyewe pamoja na Crop wanafikiria namna ya walau kutoka na point moja pale.maana huwa wanapigwa miaka mingi tu ya sasa hivi .sasa wewe jitoe ufahamu wakati ukweli unaujua ..kama unataka nikuwekee japo record chache sema nikuletee.ili upunguze shombo la kudhani kuna ushindi pale.EPL kumfunga MTU kwenye uwanja wake ni ngumu tena kama mechi ya awali alipoteza na timu hiyo.ukitaka kuprove wqulize Chelsea watakuambia ..mechi zote walizoshinda awali za top 6 marudiano wanaambulia vipogo walianza na arsenal na Leo na city na bado vinaload....Man city 6-0 huko
Hii ndio Epl bado manyumbu,
Mimi naeachora tu , kimbunga kilichopo mbele ni kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Manchester city 6 Chelsea 0Wewe tulia apo apo nafasi ya sita.
Sent using Jamii Forums mobile app
matokeo unayo mkuu au?Ila hawa gunners washapokea vipigo vizito kweli. Keshawahi kufa 8, mimi nikampiga 6.
Washazoea vipigo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Manchester city 6 Chelsea 0Mkuu mimi nimeshakubali timu sina. Ila siyo kinyonge kama unavyo dhani. Naenda kwa Man City kutafuta draw tu. Then namsubiri Tot nyumbani nimbutue kama tatu za maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
niulize mkuu haya maswali nipo hapa nataka nikujibu naanza na la matokeo najua huyajui ila ni Manchester city 6 Chelsea 0We kibonzo tulia nakuulizaga maswali kule jukwaa letu huwa hujibu. Unatokomea kusiko julikana.
Manchester city 6 Chelsea 0 weka na hiyo katika rekodi zako mkuu,sasa sijui kati ya mimi na wewe nani kapokea kipigo kizito mpaka muda huu kheeeeee kheeeeeee kheeeeee kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeIla hawa gunners washapokea vipigo vizito kweli. Keshawahi kufa 8, mimi nikampiga 6.
Washazoea vipigo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuzimia kwa masaa 8 hatimaye umezindukaGunners wazee wa vipigo heavy. Naombeni ushauri wenu jamani, nimewafata nyie walau mna experience kuntu ya vipigo heavy mlishakula 5, nikawapa 6 bado mkaja mkala 8. So kwa background hiyo nyie ni wazoefu wa vipigo heavy. Hivyo nimekuja kuomba ushauri wenu hivi mliwezaje kukabiliana na hali hii. Naombeni msaada wazoefu kuntu mliobobea kwenye matokeo ya namna hii.
Natanguliza shukrani kwenu wazoefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikua hujui kama umezimia?
WEWE BADO UNA HANGOVER ZA SIXPUNCH NAKUSHAURI LALA TENA UAMKE JIONI UOGE MAJI YA BARAFU KISHA UPIGE SUPU YA KONGORO THEN RUDI HAPA ........Gunners wazee wa vipigo heavy. Naombeni ushauri wenu jamani, nimewafata nyie walau mna experience kuntu ya vipigo heavy mlishakula 5, nikawapa 6 bado mkaja mkala 8. So kwa background hiyo nyie ni wazoefu wa vipigo heavy. Hivyo nimekuja kuomba ushauri wenu hivi mliwezaje kukabiliana na hali hii. Naombeni msaada wazoefu kuntu mliobobea kwenye matokeo ya namna hii.
Natanguliza shukrani kwenu wazoefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
KAMA UPO TIMAMU NAOMBA TUPE MATOKEO YA JANA THEN WEKA MSIMAMO WA LIGIKumbe huwaga mnazimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hii ndio tiba.? Sasa kwa mtindo huu si nitakua na roho ndogo sana. Ndio maana mnakua masikini kwa sababu mkipigwa mnaenda kulala kumbe.WEWE BADO UNA HANGOVER ZA SIXPUNCH NAKUSHAURI LALA TENA UAMKE JIONI UOGE MAJI YA BARAFU KISHA UPIGE SUPU YA KONGORO THEN RUDI HAPA ........