msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,201
- 7,699
Mbona hamjitokezi kushangilia ushindi?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamjitokezi kushangilia ushindi?..
Kesho city anakubaka, next week nawaachia manyoya wewe na manyumbu
Tumekosa gori 2 za wazi kabisa.
Ndio mpira cha msing point 3 ,Tumekosa gori 2 za wazi kabisa.
tena hawa kuku watapigwa mkono ili sisi tukae pale juu maana yule mbabe wao bournomouth leo kafa 3 mzuka kilainiiiiiiiiiiiiiii sasa kama timu inapigwa na kale kabournmouth 4 mtungi a.k.a miguu ya stuli ukienda pale etihad unaachwaje kwa mfano.............unapigwa 5 then wanaume tunakaa juu hapoKesho city anakubaka, next week nawaachia manyoya wewe na manyumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wewe timu yako ipo nafasi ya ngapi?
Subir ukicheza na liver ndio uulize hilo swal tenaKwa wewe timu yako ipo nafasi ya ngapi?
Kawape pole chelseaPoleni sana jamanii humu ndani
Umepotea jukwaa,Poleni sana jamanii humu ndani
Usipanic brazaa....wewe siku ile ulivyokuja jukwaa la Chelsea ulikuwa umepotea njia???
Sawaaa....me nimependa mlivyokuwa mnajamba jamba tuu leo😂😂😂Kawape pole chelsea
Mm jana nimebeba point 3 muhimu
Baada ya wik 2 nitakuwa nafas ya 4 kwa tofaut ya point
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo anacheza chelsea ndio anajamba hukoSawaaa....me nimependa mlivyokuwa mnajamba jamba tuu leo
We jizatiti tuu na hivo vipoint vyako,.visije kukuchoropoka,.Leo anacheza chelsea ndio anajamba huko
Mm nishabeba 3 points swafi jana
Nangojea chelsea apigwe 7-0 leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Man city 6-0 hukoWe jizatiti tuu na hivo vipoint vyako,.visije kukuchoropoka,.
Kweli leo umenionyesha ulichoenda kukifanya ETHAD,mimi nakuhesabia ya pili hii ushapoteza,bado tatu moja OT ,Anified na kwa Darajani na Spurs,weekend ijayo FA na Man Utd.Ndio timu sina kabisa. Ila siyo kinyonge kama unavyodhani. Round ya kwanza iliyoisha ni Tot pekee ndio kanipiga wengine wote walikua wanahaha. Sasa round ya pili ndio unataka kunitishia nyau? Nadhani Chelsea huifahamu vizuri, yan katika top 6 yote nipoteze mechi zote hizo. Hahaaaaa
Ngoja nikuoneshe nachoenda kufanya The Citizen Jpil pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli leo nimeona siyo kinyone ,ila hii 6-0 bila inabidi tuitafutie jina lingine maanake ni zaiid ya unyonge,nimepoteza hela yangu bure kuangalia Chelsea.Mkuu mimi nimeshakubali timu sina. Ila siyo kinyonge kama unavyo dhani. Naenda kwa Man City kutafuta draw tu. Then namsubiri Tot nyumbani nimbutue kama tatu za maana.
Sent using Jamii Forums mobile app